Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Maisha yangu yanaanzia mkoani iringa katika mtaa wa semtema A baada ya kuhitimu chuo 2019. Kodi ya geto ikawa imeisha kulingana msukumo wa mwenye nyumba nkaamua kuuza kilicho changu kama kitanda...
10 Reactions
12 Replies
224 Views
Habari wakuu. Mwezi wa kwanza mwaka huu. Baada ya mwezi wa 12 kuonekana nina wateja wengi sana kwenye biashara yangu sasa nimepata mpinzani mpuuzi sana. Kiufupi nimeumia sana kuwa na mpinzani wa...
14 Reactions
49 Replies
2K Views
Wabongo wengi bado wajinga na akili zao zinawaza ngono muda wote hio ichukue kama fursa ya kuwapiga tengeneza account fake ya jinsia ya kike weka picha kali Kisha tafuta mavideo hayo post kama...
11 Reactions
55 Replies
836 Views
Habari zenu jamani, Mimi ni kijana Nina Miaka 25 nina jambo langu linaeda kama ifuatavyo. Kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza ambapo nilikuwa nasomea kada ya Afya, Kuna Binti nilikuwa naye kozi...
13 Reactions
131 Replies
2K Views
Nchi inaenda vizuri sasa Chadema nao waanza kusikiliza kero za migogoro ya Ardhi kama Waziri Slaa. Safi sana. Waziri Slaa upo? https://youtu.be/9UCoZSg0Iv4?si=DgrXa7z7wsWBmgSt
0 Reactions
2 Replies
65 Views
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani...
41 Reactions
213 Replies
4K Views
Nasema haya kwa uchungu wa kuona jinsi wabara wanavyonyanyasika huko visiwani Zanzibar. Mfungo umekuwa mchungu sana kwa jamii ya dini ingine huko Zanzibar na ukanda wake. Ina maana Rais Mwinyi na...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Simba atashinda Yanga atashinda Hilo nina uhakika nalo 100% Nchi imewaita na kuwaambia waache ubinafsi, kwahiyo hawa jamaa wako pamoja ila kila mmoja anafanya lake. Ushindi kwa timu hizi...
2 Reactions
15 Replies
545 Views
Kuna taarifa kuwa mashabiki wa Simba kutoka Mbeya wamepata ajali maeneo ya Vigwaza Pwani, wakiwa njiani kuelekea Dar, kushuhudia mechi ya Simba na Ahly. Ajali hii imetokea baada ya gari lao...
9 Reactions
115 Replies
2K Views
Ukiona dada anakuchekea kwenye gari ya abiria. usirudishe tabasamu mpaka alipe nauli. utakuja kunikumbuka baadae
13 Reactions
43 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,586
Posts
49,206,322
Members
664,062
Latest member
Proces Tech
Back
Top Bottom