Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana. Lakini wagonjwa...
10 Reactions
86 Replies
2K Views
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani...
53 Reactions
331 Replies
6K Views
Kuna jambo nadhani mnalifanyia mzaha! Najiunga kifurushi cha mwezi Cheka mitandao yote 10000tsh Sijatuma messeji zaidi ya nne ndani ya siku sita ila mnaniambia meseji zimeisha, nikiwapigia...
1 Reactions
6 Replies
57 Views
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k...
19 Reactions
286 Replies
4K Views
Eti? Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike..... unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili? Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au...
7 Reactions
42 Replies
312 Views
Hii comment murua kabisa kutoka kwa bwana denoo JG kukemea kinachoendea huko Zanzibar. Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika Ameanza na ushauri Tatizo upeo tu, wale...
7 Reactions
22 Replies
351 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
916 Reactions
1M Replies
38M Views
Jana nilibahatika kushiriki Futari ya pamoja huko Rombo Nilichokiona sikuamini uislam unakua kwa kasi sana pande hizo Moshi misikiti inamea kwa kasi sana huku Rombo pakiwa ni mfano wa kuigwa...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Habari wana theolojia. Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu...
11 Reactions
228 Replies
2K Views
Baada ya kumsikiliza kocha wetu, mbabaishaji Miguel gamond katika mkutano na waandishi wa habari, Nimejikuta nimekata matumaini ya timu Yangu kushinda mchezo wa kesho dhidi ya kabayelo...
2 Reactions
12 Replies
258 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,704
Posts
49,209,662
Members
664,076
Latest member
kingfj
Back
Top Bottom