Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mnisamehe na swali langu hilo wadau, lakini naomba tu mnijulishe au mnikumbushe! Ahsante.
4 Reactions
23 Replies
374 Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
3 Reactions
50 Replies
421 Views
Kwa siku 45 nilikua silii mchana, nakula tu asubuhi chai ya ragi na skonzi moja na yai moja, mchana napiga ndefu, usiku ndio nakula wanga kidogo na chai ndio nalala. Kila siku kabla ya kuoga...
21 Reactions
206 Replies
9K Views
Hii ni kanuni katika uchawi ambayo inatumika toka enzi za Pontyo wa Pilato. Ni hivi unapo ingia Vitani na mshindani mwenye nguvu unatakiwa kwanza kumbadilisha jina lake. Usidhindane na mshindani...
9 Reactions
25 Replies
918 Views
Mimi ni mkristo, mpenda haki. Nimekuwa nikiwatetea sana wapalestina katika platforms za social media kote nilipo. Hakika kitendo kinachoonekana katika video niliyoambatanisha kimeniumiza...
0 Reactions
18 Replies
208 Views
Kama mpo mlio weza naomba mnipe codes hususani kipindi cha rikizo
1 Reactions
14 Replies
378 Views
for me jamii forum is for fun and being stupid at times. but I will share you my bet history. for people who don't count there losses I start beting last year and wasted too much money and time...
0 Reactions
8 Replies
154 Views
Katika maandalizi yanayoendelea kwa Simba na Yanga kuelekea mechi zao dhidi ya Al Ahly na Mamelod inaonyesha Simba wana nafasi kubwa sana ya kushinda mechi yao tena kwa idadi kubwa ya magoli hapa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Awali ya yote nitangulize pole kwa waliopata ajali, Mungu awawekee wepesi wapone haraka na kwa familia zilizowapoteza watu wao kipenzi, Mungu awalaze mahala pema. Humu pamekuwa ni sehemu ya...
1 Reactions
5 Replies
6 Views
CAG Kichere amesema Hasara nyingine wanayoingia NHIF inatokana na Wastaafu na Wenza Wao kufaidika na Fedha za Mfuko huo Bila Wao kuchangia Kicheere amesema Wastaafu na Wenza Wao wanaugharimu...
2 Reactions
35 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,491
Posts
49,203,627
Members
664,039
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom