Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tax Assessors na Tax Collector's wanalielewa Hilo hivyo ni vema wakamuelewesha Waziri Mwigullu Na kwa bahati nzuri Naibu Katibu mkuu Hazina ni Tax man Sanare wakati wa kuanzisha TRA ndiye...
4 Reactions
4 Replies
48 Views
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki? Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana...
1 Reactions
11 Replies
31 Views
Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza. Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote...
2 Reactions
11 Replies
212 Views
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo...
17 Reactions
1K Replies
47K Views
Nimejikuta natafuta Israel kwenye hii ramani, inabidi uitafute sana tu yaani, majitu ya uarabuni yanatia aibu, halafu na huku Afrika kuna wavaa kanzu ambao wanapaswa kuitazama hii picha wajipige...
1 Reactions
13 Replies
343 Views
1. Hata watoto wadogo huujibu uchokozi wa makusudi. 2. Ali beep Israel ubalozini, sasa kapigiwa kutokea nyumbani; anao ubavu wa kumpigia Ayatollah nyumbani? 3. Ni kawaida ahadi kuwa nzito...
7 Reactions
46 Replies
2K Views
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa...
2 Reactions
42 Replies
945 Views
Kenya imetajwa kama nchi ambayo pesa yake inaimarika dhidi ya USD kwenye nchi za kusini mwa jangwa la Sahara.Siku za hivikaribuni shiling ya kenya imenza kuimarika sana baada ya kuyumba sana. Hii...
3 Reactions
30 Replies
425 Views
Umdhaniaye siye. Hata mabonge ni wezi na vibaka? https://www.youtube.com/watch?v=ceNupu_zjq0&pp=ygUlcm9iYmVyeSBjYXVnaHQgb24gY2FtZXJhIHNvdXRoIGFmcmljYQ%3D%3D mrangi Isanga family King Kong III
1 Reactions
17 Replies
509 Views
Usiku wa Jumamosi, tarehe13 April 2024, Iran iliishambulia Israel kwa makombora mbalimbali na drones 300, huku mitambo ya Israel, Marekani, Uingereza na Jordan, ikidaka zaidi ya 99% ya makombora...
9 Reactions
72 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,845,829
Posts
49,398,424
Members
665,735
Latest member
Magreth kivuyo
Back
Top Bottom