Wakati wa tendo yeye anafanya akifika mshindo amwage nje,,
wewe na hamu zako unamshikilia kwa nguvu ili asimwage nje,
Pole sana dada next time uolewe kwanza
kwa sababu una akili ndio maana unalielewa hilo, ila hamna aliyepotoshwa hapo. mimi nimetoa elimu kwa wanaoingia dar wasiige maisha ya watu, au wazazi wawafatilie watoto wao pindi wanaenda kwa ndugu na kukaa muda mrefu.
Ndefu kidogo....
Leo acha niseme kidogo kuhusu dada zetu tuseme Betina aka Tyner.
Picha linaanza akifika Dar, ngozi halisi inaanza kuonekana. Kumbe hakuwa mweusi tii bali ni rangi ya chokoleti. Maji ya chumvi, vipodozi, misosi flani, sabuni na mafuta anayoanza kupaka. Kombinesheni yote hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.