Habari wana JF,
Mimi nina tatizo kila nikiamua nisome chuo basi ikikarbia mitihani napatwa na hali ya anxiety au kichwa kujam.
Hii hali imepelekea mimi kupostpone au kuacha chuo mara tatu. Sasa nnaona kabisa Nahtaji elimu ili inikomboe na umaskini.
Nifanye nini kupambana na hii hali...
Maghufuli alipoingia alitoa onyo kuhusu mgao wa umeme na ukaisha kabisa. Alipoingia tu mama mgao ukarudi. Kumbe mgao wa umeme ni maksudi. Ni hujuma Kwa wananchi. Kwann watu hawaoji kuwa Kwa maghufuli Mbona mgao haukwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.