Naomba nijaribu hapo VIYEYUSHO ni KONSONANTI ambazo zinazotamkwa kama IRABU. katika kiswahili kuna aina mbili za VIYEYUSHO navyo ni: "W" na "Y" vipashio hivi viwili katika kutamka huweza kutamkwa kama IRABU. Kipashio "W" hutamka kama IRABU "U" Mfano: "Wanacheza" inatamkwa "Uanacheza"...
Kwakweli ni muda mrefu tangu meno yangu yaharibike(hayajaoza bali yametengeneza utandu kati ya fizi na meno) na sio siri yananikosesha amani ninapokuwa na watu wangu wa karibu. Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu kama meno haya yanaweza kurudi katika hali yake ya kawaida na kuwa safi kama...
Habari zenu wakuu? Naomba msaada au udhibitisho wa kisayansi kama MAYAI yanaweza kutoa chunusi usoni kwa sababu nasikia tu juu juu kuwa MAYAI yanauwezo wa kutibu magonjwa ya ngozi kama chunusi na upele usoni. Je hili ni la kweli?
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Wa kike wanaitwa masherabera yaan hawa ndio balaa utakuta eti wanajifanya hawamaliz kinywaji halaf wakifika makwao wanajutia bora wasingebakisha kund hili wapo wengi hadi wengine hawajui kama wao ni masherabera. Je wewe haupo hapa??
Habari zenu wakuu? Leo nimekuja na hili ninashida ya kutofautisha maneno haya BAINISHA na AINISHA.
Mfano: Bainisha na ainisha maneno yafuatayo
1. Anakikimbia
2.Anakula
Naombeni msaada wenu jamani.
Habari zenu wanaJF Leo nimekuja na swali tujadiliane NI KITU GANI AMBACHO KILA MWANADAMU ANAKIOGOPA KATIKA MAISHA YAKE YA KILA SIKU HAPA DUNIANI? Kwa sababu nimeambiwa kunakitu ambacho kila mwanadamu anakiogopa.
Tujadiliane
Habari zenu wakuu naomba kwa yeyote anayejua anisaidie hatua za kufuata kabla ya kutuma maombi unapotaka kuendesha kazi mradi (project) ni kwa kiwango cha A-level
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.