Wazee I.T naombeni msaada wenu,
Simu yangu ina support 4G lite na nimeitumia kwa mda mrefu na huu ni mwezi wa tatu natumia 4G, ila sasa leo ni wiki 4G haipandi wala 3G inayo panda sasa ni 2G pekee nimejaribu kuset ninavo weza imegoma hadi nime restore lakini wapi nimejaribu hata ku frash bado...
Jamani mtandao wa Airtel umekuwa tatizo kwa watumiaje hasa kwenye suala la huduma,
Yaani sijui wanakwama wapi mtumiaji unakuta ninatizo na nahitaji msadaa wa customer care napiga 100 kama kawaida lakini unaskiliza tu maelezo ya computer na kuku bonyezesha mi namba baada ya hapo wanakata simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.