Dada unajua kuwa na msongo wa mawazo ni kawaida kwa binadamu maana anataka kupata anachokihitaji ndo furaha iwepo. Bola uanze fikiria vitu vingine Kama mbadara wa yale ya zamani. Tofauti na hapo ni kuwa na matatizo mfano; vidonda tumbo; kupolomoka kimaisha na jitihada zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.