Recent content by watundawangu

  1. W

    Kikwete, sasa umemwelewa Sumaye?

    Mbona siyo yeye pekee, hata Faiza Foxy yuko Team Lowasa/ Ukawa
  2. W

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

    Nakulilia Kamanda Mohamed Mtoi! - sasa hivi nakumbuka sana maneno yako! Ila ninachoshukuru Mungu hivi sasa siko tena CCM. - Nimeguswa sana na maneno yako Mussa Allan. Naomba unisamehe kwa mengi ya kudhihaki niliyoyandika juu yako. Karibu sasa katika kundi la wapambanaji.
  3. W

    CCM na ufisadi Tanzania

    Ununuaji wa jengo la Ubalozi wa Tanzania Roma, nchini Italia, Mkapa kalishupalia hadi kuwasafisha mafisadi wenzake .. Mahalu na Grace Martini (Grace Ololu) Tujikumbushe kuwa: Mkapa alipokuwa Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Je wajua kuwa Mahalu alikuwa nani..? Jibu analo kila Mtanzania mwenye...
  4. W

    Wanachama 500 wa CCM na diwani mmoja Muleba wahamia CHADEMA

    Duu! Ritz kumbe bado upo hai? Nilifikiri umeshakufa kwa pressure kama walivyokufa akina Faiza Foxy na Msalani? Mungu akujalie maisha marefu...ili uone Ukawa ikiingia Ikulu 2015!
  5. W

    Team nzima ya CHADEMA ndani ya Kahama leo mapokezi ya James Lembeli

    Dada Faiza, nasikia na wewe wajitayarisha kuvua gamba na kuvaa gwanda siku chache zijazo, ili kumsindikiza Lowasa!
  6. W

    Msigwa afunika Iringa Mjini

    Hahaaha, ndiyo maana Blogu za wanafiki wa CCM za akina Francis Godwin (Matukio daia na ile ya Iringa yetu) tangu jana haziko hewani.. Wote wamefyata mikia yao kwa kumwogopa mwanaume wa chuma Mchungaji Msigwa !
  7. W

    Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Duu! Sasa itakuwaje kwa wale Mahehe feki wa Bagamoyo waliokwenda kwa Mamvi kujipendekeza?
  8. W

    Mussa Alhadi alikuwa akiandaliwa kumrithi Mufti Simba?

    Yameletwaje humu Jamii forums?
  9. W

    Makongoro Nyerere: Mkinichagua, nitaanza kushughulika na kukiimarisha chama

    Loo! Maskini huyu, bado tu anaamini kuwa watanzania wote ni wanachama wa chama kile baba yake? Hgatuchaui mwenyekiti wa ccm, tunachagua rais wa watanzania wote!!!
  10. W

    Godbless Lema apata ajali

    Ni wewe kweli, Ritz unayetoa pole hizi kwa Lema? Asante kwa niaba ya Lema, huenda Mungu kaubadilisha moyo wako, kutoka moyo wa jiwe hadi kuwa moyo wa nyama! Karibu sana kamanda Litz!
  11. W

    Godbless Lema apata ajali

    Ni wewe kweli, Ritz unayetoa pole hizi kwa Lema? Asante kwa niaba ya Lema, huenda Mungu kaubadilisha moyo wako, kutoka moyo wa jiwe hadi kuwa moyo wa nyama! Karibu sana kamanda Litz!
  12. W

    Le mutuz nakuomba sana uje uchukue ili jimbo la Isimani

    Mshauri Le mutuz akatengeneze picha za ngono. Kwani blog yake inajaa picha za wadada walio uchi! Ubunge sidhani kama ni fani yake!
  13. W

    Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

    Hata mkimleta Kikwete...., mbunge wetu Ubungo ni jj mnyika.. ondoeni fitina zenu!
  14. W

    Freeman Mbowe atoa suluhu ya foleni na mafuriko Dar es Salaam

    Du! Mh. Mbowe umeelezea mambo ya kweli kabisa. Yaani sijaona jiji la kipumbavu katika duniaya leo kama jiji la Dar! Dar inaudhi, Dar inasumbua, Dar inaleta stress, Dar nichafuu!, Dar ni jehanamuya Tanzania, Dar fa Schiffo! Serikali ya CCM basi tu!! CCm haistahili tu kuondolewa Oktoba, bali...
  15. W

    Picha na Maelezo: Baraza la wanawake CHADEMA waitikisa Arusha leo 16.05.2015

    Kitu Kizito Safiii - Aluta Continua! Forza Chadema, Avanti Ukawa!
Back
Top Bottom