Nakulilia Kamanda Mohamed Mtoi! - sasa hivi nakumbuka sana maneno yako! Ila ninachoshukuru Mungu hivi sasa siko tena CCM. - Nimeguswa sana na maneno yako Mussa Allan. Naomba unisamehe kwa mengi ya kudhihaki niliyoyandika juu yako. Karibu sasa katika kundi la wapambanaji.
Ununuaji wa jengo la Ubalozi wa Tanzania Roma, nchini Italia, Mkapa kalishupalia hadi kuwasafisha mafisadi wenzake .. Mahalu na Grace Martini (Grace Ololu) Tujikumbushe kuwa: Mkapa alipokuwa Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Je wajua kuwa Mahalu alikuwa nani..? Jibu analo kila Mtanzania mwenye...
Duu! Ritz kumbe bado upo hai? Nilifikiri umeshakufa kwa pressure kama walivyokufa akina Faiza Foxy na Msalani?
Mungu akujalie maisha marefu...ili uone Ukawa ikiingia Ikulu 2015!
Hahaaha, ndiyo maana Blogu za wanafiki wa CCM za akina Francis Godwin (Matukio daia na ile ya Iringa yetu) tangu jana haziko hewani.. Wote wamefyata mikia yao kwa kumwogopa mwanaume wa chuma Mchungaji Msigwa !
Loo! Maskini huyu, bado tu anaamini kuwa watanzania wote ni wanachama wa chama kile baba yake?
Hgatuchaui mwenyekiti wa ccm, tunachagua rais wa watanzania wote!!!
Ni wewe kweli, Ritz unayetoa pole hizi kwa Lema? Asante kwa niaba ya Lema, huenda Mungu kaubadilisha moyo wako, kutoka moyo wa jiwe hadi kuwa moyo wa nyama! Karibu sana kamanda Litz!
Ni wewe kweli, Ritz unayetoa pole hizi kwa Lema? Asante kwa niaba ya Lema, huenda Mungu kaubadilisha moyo wako, kutoka moyo wa jiwe hadi kuwa moyo wa nyama! Karibu sana kamanda Litz!
Du! Mh. Mbowe umeelezea mambo ya kweli kabisa. Yaani sijaona jiji la kipumbavu katika duniaya leo kama jiji la Dar! Dar inaudhi, Dar inasumbua, Dar inaleta stress, Dar nichafuu!, Dar ni jehanamuya Tanzania, Dar fa Schiffo! Serikali ya CCM basi tu!! CCm haistahili tu kuondolewa Oktoba, bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.