Kukosa kwako elimu ya uraia ndo kunakufanya uwe na akili mgando kiasi hicho.
Hujui kazi ya mbunge ni nini na pia hujajihangaisha kufanya utafiti mdogo tu wa kujua majimbo yanayoongozwa na ccm yana maendeleo kiasi gani mpaka uone kama Sugu ndio amemwamish maendeleo ya Mbeya.
Halafu asivyojielewa anasema eti watu wanaenda kushangaa helcopter tu. Anasahau mwanzoni walisema watu wanaenda kumshangaa Lissu maana ni msukule.
Lakini ukimwambia kwenye mikutano yao watu wanafuata fiesta hapo hakuelewi wakati picha imeonekana tamasha likiisha watu wanasepa.
Baba Askofu Benson Kalikawe Bagonza.
Asante sana kwa falsafa zako zilijaa busara na hekima ya hali ya juu sana.
Masikitiko yangu ni kwamba tuna bahati mbaya kama nchi, wenye uwezo wa kuelewa falsafa zako ni wachache sana.
Kinachosikitisha zaidi ni kwamba wasiolewa falsafa hizi miongoni mwao...
Ukisikia sinema ya kutengeneza ndio hii sasa. Yaani wavamizi wanavaa sare za chama kabisa halafu wanafanya tukio la ivamizi.
Je ilikuwa ni kwenye viwanja vya kampeni?
Tuache siasa za maji taka jamani.
Usitegemee majibu kabisa, tegemea kupata majibu ya aina hiyo kutoka kwa watu wa aina hiyo ya akina Mkinga, Musiba, Mollel nk.
Hebu jiulize ni kwanini serikali imekataa katakata kuleta kampuni huru za upelelezi ili kuondoa mzizi wa fitina?
Ninachokiona tatizo kubwa ni CCM ambao wao wanaamini Tanzania ni mali yao na wengine wanachukuliwa kama raia wa nchi jirani.
Ukiangali CCM namna wanavyowatreat wapinzani wanawachukulia kama maadui zao.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Johnthebaptist.
Ungejipa muda wa kumsikiliza bila shaka ungepata jibu la swali lako.
Ameeleza kinagaubaga kwamba suala lajira haliwezi kutatuliwa na serikali peke yake. Hivyo atahakikisha atatengeneza mazingira rafiki kwa sekta binafsi ili kwa kushirikiana na serikali waweze kutatua tatizo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.