Habari wandugu,
Eti wapi naweza pata refregeration container hapa Tanzania? Kwa ajili ya kufreez samaki au kutengeneza ice.
Kwa mwenye information nijuze tafadhali.
Wakuu salama? kwa anaejua namna ya kuflush vodafone moderm hii IMEI: 3565117032175237, S/N: 320892712528.
Naomba anisaidie. Voda maeneo yangu inasumbua sana hai connect kabisa.
Inaonyesha wazi wewe UKIMWI huuogopi, lakini kwa kuwa unaogopa mimba kiasi hicho basi zingatia kutumia kinga. Ndo maana inaitwa kinga,! kinga unachokiogopa.
Wana JF msaada jamani, Voda na Airtel wananiibia nimechoka. kazi yao kuniambia wamekata 400 mara 210 eti gharama ya caller tunes. Naomba msaada namna ya kujitoa kwa anayejua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.