nipo home so bored so lonely nahis ni JF tu itakayonipa furaha ya kweli maana nahisi upweke unanisumbua jamani lol hongereni nyie wenye furaha mioyoni mwenu maana mie mmh ...
yani masuke umenikumbusha jambo:
ni story ya kweli ilitokea kijijini kwetu moshi, kulikuwa na babu mmoja ambaye alikuwa na mtoto wake wa kiume. huyo mtoto alioa mke wake sasa siku moja akamshika mkwewe live na mtu mwingine wakivunja amri ya sita , kijana akaja juu na kwenda kwa wazazi kutaarifu...
pole sana GANGO na JATELO najua kwa akili zetu kamawe hatuwezi kabisa kuwaondoa tuliowapenda kwa mioyo yetu kwa dhati ila mungu anahusika kutusaidia na kutupa faraja na kutuwezesha ,
NAWASHAURI MJUE KUWA MUNGU NI MWEMA SANA KWETU HIVYO KILA JAMBO LINATOKEA KWA SABABU, Tena muwe mnamshukuru mungu...
paka huyu dada anahitaji ushauri najua no one can write ubaya wake ila ni vyema tukamweleza maneno ya kumfariji
ni vip umuhukumu.
huyo mwanaume ndio anatabia ya kishenzi na ndio maana mwanamke amelalama humu jf.
kwa USONI ni kama wanasamehe ila wanavisasi vikali mno....
mume mmoja alimuuliza mkewe mimi nikikasirika nina kupiga na wewe je akasema huwa naoshea mswaki wako chooni......so watch care usiwaudhi sana wanawake
yupo hivi anajifany a smijui mkongomani mara sijui mwarabu wa dubai /shinyanga
jamani hta haya maigizo yao mie siangaliagi
kwa kifupi hana jipya ukichangia na **** aliyoifanya huko aibu tupu
kwa mtu mwenye akili lazima ujue jinsi ya ku solve problema ana ku react at the time look enviroment...
inaonyesha kabisa ni jinsi gan mtoa mada hilo tatizo lako lilivyo kuumiza na nahitaji msaada wa kimawazo, kwanza busara hapo lazima ishike mkondo wake ili kumshauri huyo mpenzi wako.tafuta muda mzuri mtoe out na umueleze yanayokusibu nadhani ataelewa na kama anakupenda kweli basi atajitahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.