Recent content by w0rM

  1. w0rM

    Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi imezinduliwa, ianze na wale wanatumia taarifa za watu kwenye Vifungashio

    Hii ni balaa, unanunua zako maandazi kwa Mama Muuza unakutana na matokeo ya mwanao ya mtihani 😁😁
  2. w0rM

    Zifahamu kazi za Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi inayozinduliwa na Rais Samia

    Hii Tume ikifanya kazi bila kuingiliwa na kwa weledi, tutapata mazingira mazuri sana ya TEHAMA nchini
  3. w0rM

    Wenzetu mnaosafiri nje ya Tanzania mmewahi kukutana na tangazo letu kama hili huko?

    Habari WanaJF, Leo nimepita pale maeneo ya St. Peters karibu na Mbuyuni Jijini Dar es Salaam nimekutana na bango hili kubwa sana likiwa na maandishi mamubwa “Visit South Africa” inaweza kuwa sio jambo baya ila najiuliza na sisi kwenye nchi za Wenzetu tunafanya kujitangaza hivi? Nawaza...
  4. w0rM

    Angalizo: Mashine ya mafuta inapotoa hewa badala ya mafuta

    Wanajamvi habari za muda huu, Kituo kimoja cha mafuta huko nchi za wenzetu kimeshtukiwa tabia yake ya wizi wa mafuta katika kuwajazia watu mafuta kwenye gari ambao mashine ya mafuta inahesabu huku mafuta yanayoingia ni kidogo sana. Kuna kipindi Dar es Salaam hapa kulikuwa na mtingo kama huu...
  5. w0rM

    Marekani inafundisha Wanajeshi wa Kiafrika kufanya Mapinduzi nchini mwao? Walioongoza mapinduzi Guinea na Burkina Faso ni zao lao

    Katika majibizano makali mnamo Machi 23, 2023, Congressman Matt Gaetz alimuhoji kiundani Kamanda wa Kamandi ya U.S. Afrika, Jenerali Michael Langley kuhusu Dola za Walipa Kodi wa Marekani zilizotumika kuwafunza Viongozi wa Kijeshi wa Mapinduzi barani Afrika Mnamo Januari 2022, Luteni Kanali...
  6. w0rM

    DOKEZO Mauaji ya mraibu katika kituo cha Arusha Sober House

    Naamini Polisi watalifanyia kazi suala hili. Hii ni mbaya sana kama ni kweli
  7. w0rM

    Lengai Ole Sabaya kachukua tabia ya Baba yake

    Na leo hii Mzee huyu ameteuliwa kugombea Uenyekiti wa CCM
  8. w0rM

    Je, unafahamu kuwa Katiba ya Zanzibar inaitambua Zanzibar kama Nchi huku Katiba ya Tanzania ikisema Tanzania ni Nchi Moja?

    Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema katika Ibara ya 1 inaeleza wazi kuwa Tanzania ni Nchi Moja na ni Jamhuri ya Muungano. Katika Ibara ya 2 (1) Katiba hiyo inaeleza wazi kuwa eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar. 1. Tanzania...
  9. w0rM

    Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

    Yaani kama watu wameshindwa ni bora kuchukua wengine kuliko watu wale wale kuwazungusha kila baada muda mfupi ni kama wanafanyiwa ‘trial and error’ matokeo yake kwenye Wizara wanaanza jambo hawamalizi wanaondoka na mwingine akija anaanza yake
  10. w0rM

    Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

    Nguvu yake hasa ipo kwenye nini huyu Mtu hadi iwe namna hii?
  11. w0rM

    Vifaa vya Tronic vinaharibika vyenyewe baada ya muda mfupi. Ni dhahiri baada ya kuaminiwa wameanza kuchakachua

    Mkuu hizo zimenunulia kwenye moja ya duka lao kubwa kabisa. Kama ni mwenyeji wa Dar es Salaam basi utakuwa unalifahamu lile duka lao la Kisutu pale
  12. w0rM

    Vifaa vya Tronic vinaharibika vyenyewe baada ya muda mfupi. Ni dhahiri baada ya kuaminiwa wameanza kuchakachua

    Unajichanganya kwa namna gani ikiwa unanunua kwa duka lao kabisa na wao wakisifia ni original? Wao ndio wanaofanya mchezo basi wa kuweka vifaa feki na kudai ni original ili kupata faida maradufu
  13. w0rM

    Vifaa vya Tronic vinaharibika vyenyewe baada ya muda mfupi. Ni dhahiri baada ya kuaminiwa wameanza kuchakachua

    Lakini vifaa hivi vimenunuliwa ndani ya duka lao kabisa huku wakinadi kuwa ni original
  14. w0rM

    Vifaa vya Tronic vinaharibika vyenyewe baada ya muda mfupi. Ni dhahiri baada ya kuaminiwa wameanza kuchakachua

    Salam Wanajamvi, Nisiwapotezee muda niende moja kwa moja tu kwenye mada. Yaani nimenunua vifaa vya umeme na kuweka kwenye nyumba zikiwemo sockets, taa na nyaya. Ila ikiwa ni miezi 9 tu tangu kuweka vifaa hivyo yaani baadhi vimeanza kuharibika vyenyewe. Taa zinaungua sana choke lakini kubwa...
  15. w0rM

    Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

    Wakuu salama Innocent Bashungwa ambaye jana ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi amekuwa Waziri anayehamishwa Wizara mara nyingi sana. Nini hasa kipo nyuma ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara? Ukiangalia tangu atotolewe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara mnamo...
Back
Top Bottom