Recent content by Vumbi

  1. V

    JamiiForums Tanzania Energy never dies

    Energy cannot be created nor destroyed but can be changed from one form to another. Is there death if the energy never dies? death change energy from one form to another
  2. V

    JamiiForums Tanzania Mbinu rahisi za kuendesha gari (msaada wenu)

    Nenda Driving school kwa muda wa mwezi mmoja. Inaweza kukugharimu angalau laki mbili lakini ukimaliza utakuwa na ujasiri wa kuingia barabarani pamoja na mambo mengine ya usalama barabarani.
  3. V

    JamiiForums Tanzania Kujengwa kwa viwanda vya mbolea na plastic Mtwara kutokana na gas

    Mitambo inayojengwa Madimba mtwara vijijini ni mitambo ya kusafisha gesi ( processing facility) na siyo mitambo ya kusukuma gesi. hatuhitaji mitambo ya kusukuma gesi kwani gesi iliyopatikana Tanzania ina pressure kubwa inatosheleza kusafirisha gesi hiyo. Product kubwa inayopatikana baada ya gesi...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Norwegian Scholarship for petroleum Engineers and Geoscience

    Applications are therefore invited from qualified candidates for scholarships to pursue Master of Science in Petroleum Engineering and Petroleum Geosciences (2012-2014). The scholarship provides for Students from Tanzania to spend one year at NTNU in Norway and the second year at the...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Kwa wanawake tu

    Yeyote aliye ni-PM nitamjibu kila mmoja kwa wakati wake.
  6. V

    JamiiForums Tanzania Kwa wanawake tu

    Naomba mniwie radhi kwa wawe ambao nitawakwaza. Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto mmoja au wawili, asiwe na umri wa zaidi ya miaka 38. Tafadhali kama unahitaji hilo naomba uni-PM. Sababu za hitaji langu na jinsi ya kutunza watoto/mtoto tutafahamishana baada ya kupata PM yako. Pia taarifa...
  7. V

    JamiiForums Tanzania Amelazimika Kunywa Maji

    Ni mkazi mmoja wa mkoa wa Pwani, kama alivyonaswa na kamera ya mpiga picha wa magazeti ya Serikali, akinywa maji baada ya kuzidiwa na kiu, maji ambayo....! (sidhani kama ninahitaji kuandika lolote maana ni mengi yatokanayo na picha hiyo, kuanzia usalama wa afya hadi nani alaumiwe kwa kushindwa...
  8. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania jinsi ya kutumia crdb internet banking

    Kama wameshakupa internet accounting ID na password, then unaweza kupata huduma zote za internet banking ambazo ni kuhamisha fedha kutoka kwenye account yako na kwenda kwenye account ya mtu mwingine wa CRDB pekee, hawatoi huduma kama huyo mtu anayemtumia hayupo CRDB. Hii huduma nimeitumia mpaka...
  9. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania jinsi ya kutumia crdb internet banking

    1) Hakikisha huyo unayetaka kumtumia fedha umemsaji : Ukiwa ume-login kwenye internet banking page yako, upande wa kushoto chagua PAYEES - New third party hapo mtamsajili huyo unayetaka kumtumia Jina lake na Account yake. NOTE: CRDB account ina herufi "J" hii ni herufi kubwa, ukiweka herufi...
  10. V

    JamiiForums Tanzania Nyufa kubwa na mfumo mbaya wa maji taka vya hatarisha udom

    Vyombo vya habari vimetuonyesha katibu uenezi na itikadi wa chama cha mapinduzi (CCM) ndugu Nape Nnauye akiwa katika ziara ya kikazi pale University of Dodoma (UDOM). Mambo aliyoyafanya ni pamoja na kukagua majengo na miundombinu ya Chuo lakini pia alitoa maagizo kwa uongozi wa chuo...
  11. V

    JamiiForums Tanzania TAMKO la UVCCM Arusha 25/5/2011 SOMA UJIONEE!

    kweli mwaka huu tutaona mengi.Hivi CCM kila mtu au juimuia ina haki ya kujisemea jinsi inavyo jisikia? hakuna utaratibu wa kutoa matamko? kweli CCM imefilisika.
  12. V

    JamiiForums Tanzania Gamba Linapo Goma Kuvuka

    Hii carton imenifurahisha sana. "Gamba Linapo Goma Kutoka"
  13. V

    JamiiForums Tanzania Kauli ya katibu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni kuhusu kukamatwa kwa wabunge wa chadema

    KAULI YA KATIBU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU VITENDO VYA JESHI LA POLISI KWA RAIA NA KUKAMATWA KWA WABUNGE WA CHADEMA Katibu wa Wabunge wa Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na CHADEMA nalaani vitendo vinavyofanywa na Jeshi la Polisi kwa kusababisha mauji ya raia na...
  14. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada karibu napata presha

    Kuhusu suala la fedha hiyo ni haki yako kujua mapato na matumizi vinginevyo hiyo biasha inaweza kufa na hasara itakuwa kwa familia na siyo kwa mke wako. Kinachotakiwa ni kumuelimisha mkeo juu ya umuhimu wa kukagua hiyo biashara tumia lugha nzuri, ukiona anaendelea kukataa jua kuna mchezo...
  15. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama husema Kofi la mpenzi haliumi, Je, ukiombwa utatoa?

    Mjibu, ashindwe na alegee pia kemea huyo pepo wa matusi amtoke.
Back
Top Bottom