Dah! sitosahau ili tukio, nilikiwa nimefungua kiduka changu maeneo fulani ya Morogoro, jirani kidogo kulitokea ujenzi mkubwa wa Sekondari kwahiyo pale kwenye ujenzi pakawepo na vijana wengi wanaoishi kambini kama mafundi na vibarua. Walikuwa na tabia ya kuagiza vitu haswa vocha, vinywaji au...
Crusher/karasha zinaanzia 8m-15m kutegemeana na ubora wa plates zake. Si vyema sana kuanza hizi harakati kwa kununua hizi Crusher bila ya kuwa na uhakika wa kupata mawe. Na siyo mawe/ore tu bali mawe(ore) inayosoma vizuri. Naposema kusoma namaanisha kiwango cha Dhahabu(PPM) kilichomo kwenye mawe...
Mfalme Sauli yalipomfika shingoni akaenda kwa mganga(kwenye mizimu)ili amuite Nabii wa Mungu Samweli ambaye alikuwa kashakufa kitambo ili Samweli amuombee msamaha kwa Mungu maana Mungu aliziba masikio yake hakutaka kusikia maombi ya Mfalme Sauli.
Marehemu Samweli aliitwa na roho yake ikaitika...
Bora hapo wanakutibu kwanza ndo wanaanza kukudai, hospital ya rufaa Mbeya wanakuandikia bill ulipe ndo utibiwe, majuzi nimempeleka dogo kapata ajali kapasuka kichwa, dakotari akiitaji panadol anakuandikia mkeka ulipie kwanza ndo upewe dawa
Nafikiri Kuna tofauti kubwa kati ya DINI na IMANI, Yawezekana Ibrahim na wengineo kabla ya Musa walikuwa na IMANI lakini siyo Dini. Ibrahim alikuwa na IMANI juu ya Mungu muumba ilikuwa ni IMANI hisiyo na mfumo/mtindo maalumu (DIni)! Hii mifumo ya kiimani(Dini) ilikuja wakati wa Musa ambapo Mungu...
Swali la msingi la kujiuliza, ilikuwaje dollali ikawa dominant? Kama hiyo/hizo sababu hazijatatuliwa basi dominance yake haiwezi kutatatuliwa kwa kuondoa matumizi yake kwenye kanda mbalimbali. Siona namna ya kondoa utawala wa dollali kama hamna standard currency nyingine inayoibukia ili iweze...
Anakuwa mratibu wa shughuli za Serikali, sasa nambie Majaliwa kabaki na majukumu gani ya maana kama PM? Mimi naona Majaliwa kafukuzwa kidizaini vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwake ni faida kubwa sanaaa! Ni sawa na ukienda kwa dalali kuuza mazao ukute lile jiwe la kilo moja amelifanyia umafia liwe na uzito na 1.5kg! Itakulazimu kupima mazo mengi zaidi ili upate kile moja. Pesa yake ndo standard/ Kipimo cha kupimia thamani ya pesa zingine
Huyo Rutto alikuwa kashiba maharage ya Mbeya! Kwa puttin leo imepanda mpaka Ruble 90.22, kwa Mchina inasoma 7.17. Na jamaa wanazidi kuifanya ipande thamani tu mpaka watakapoona imetosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.