Kipindi cha ujana, nilisafiria Penzi kwa binti wa mkoa fulani, mkoa ambao niliutamani sana kuutembelea kutokana na sifa zake wanazoujaza watu.
Basi kwakuwa huyo manzi anaishi huo mkoa nikaona hapa ndio fursa ya kumaliza ndege wawili kwa jiwe moja, kidume nikakata tiketi kusafiria penzi lisilo...
Mashariki ya kati kuna wanyama? Kuna simba huko? Kuna nyati huko? Kuna tembo kule? Je ikawaje hao wanyama woote wahame iyo mashariki ya kati waje wajazane afrika ambako kiuhalisia hawakupaswa kuwepo kulingana na maelezo ya dini zenu kuwa safina ilisimama huko uturuki mlima wa hararati, yaani...
Stories za gharika ya Nuhu ni fiction tu zimetungwa ama zimekuwa copied kutoka ktk hadith za Afrika ya kale.
Ukifuatilia vizuri hadithi za Nuhu utagundua kuwa zimetokea si zaidi ya miaka 7000 iliyopita ilihali kuna stori kama hiyo hiyo ambayo ilikuwepo na ilitokea Kabla ya mgawanyiko wa mabala...
Na wasio fuata hivyo vyama vyenu mnawaweka kundi gani? Au mtu akiwa kinyume na itikadi za kisiasa za kuunga juhudi za vyama vyenu mnamuweka ktk makundi mabaya?
Siasa ni upuuzi
Acha uongo wewe hiv unaijua vizuri historia ya ulimwengu? Huo uyahudi hauna sifa ya kuwa dini pekee kongwe maana kabla yake kulikuwepo dini kongwe zaid ambazo kibongobongo ama Afrika hatuzijui kwa sababu hatukutawaliwa na hawa jamaa wa hizo dini basi hatufahamu data za dini zao ambazo ni kongwe...
Bora wewe umeongea ukweli.
Kuna muda wanaume tunapoona mambo hayaendi na mahusiano uliyonayo huyatendei haki, yaani humtimizii haja zake mpenzi wako, ni bora umuache kuliko kumtesa, hasa ukiwa na hawa wanawake wenye tamaa na wasio na uvumilivu, ukiona mwanamke wako kapunguza kukuvumilia na...
Sisi bado tuna ujinga vichwani mwetu.
Imagine mzazi leo akipata pesa na mali nyingi anagoma kumpa mwanae/wanae urithi akiamini kwamba na wao wakajitegemee au watafute vya kwao badala yake anawaambia urithi wa pekee ni elimu, jambo ambalo si kweli,
Kwa dhana hii mtu anapofanikiwa na kushindwa...
Na ndio hawa hawa waliotunga hizo sheria za Kimataifa hata katika uwanja wa Vita inapangwa vita ipiganwe vipi, adui aadhibiwe vipi.
Ni ajabu sana wahuni/magaidi wanaoharibu mali za watu na kupoteza maisha ya raia wasio na hatia, wahuni hawa ama magaidi wanalindwa na sheria za umoja wa mataifa...
Dhana potofu hizi
Hivi nani aliyewaambia mitandao fulani ni kwaajili ya umri fulani au watu fulani?
Ushamba tu wa waTanzania kutojua umuhimu na matumizi sahihi ya hii mitandao ndio huko kujifanya mnabagua baadhi ya mitandao.
Facebook&instagram ndio sehemu pekee ambako unaweza kupata marafiki...
Wafia dini washauharibu huu uzi.
Uzi ulitakiwa kujibiwa kwa facts na vithibitisho vinavyomake sense visivyoegemea upande wa dini wala imani yoyote.
Vithibitisho vya kweli sikuzote havichagui hali yako ya kiimani wala rangi yako, facts ni facts tu, wanaothibitisha kwa kutumia biblia na quran na...
Unaweza kukuta huyu mtoa mada ni Mzee ama kijana wa kuheshimika kwa muonekano ambaye nje ya nyumba anaongozana na mkewe kwa vicheko vya kutuhadaa na tabasamu feki, kumbe ndani ya nyumba anaendeshwa na mwanamke.
Msimamo na Maamuzi hizi sifa wanaume wengi ndani ya ndoa wamezikosa ndiomaana...
Nikutangulizie salamu unazostahili wewe na wasomi wenzako vilaza PUMBAVU ZAKO.
elimu mliyojifunza darasani kuanzia chekechea mpaka huko ukilazani yaani chuo kikuu, haukuambiwa kuwa unasoma ili upate kazi au kuajiriwa, bali ulkuwa ukisisitizwa kujifunza na kuongeza maarifa.
Kama ulisoma coz...
Wazanzibar hawataki kujifunza na kuijua historia sahihi.
Zanzibar na Tanganyika kabla ya kuja hawa washenzi wakoloni waarabu na wazungu, hizi ardhi zilikaliwa na mtu mweusi kwa maelfu ya miaka bila shida yoyote.
Shida ilianza pale mkolon wa uarabuni kuja East afrika kupitia pwani na kuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.