Kwanza akaunti yako ni ya aina gani,Inacashflow kiasi gani,Una Hela?Maana wakati mwingine kulalamika kwa ajili ya 17000 kunaweza kuwa nako ndio chanzo cha matatizo.Wanaocha Ela zao Benki zikatwe ni wale wenye Bili kadhaa.Ila kama hela yako ya Mawazo we Tumia Tigo PESA,MPESA AIRTEL MONEY Kuweka...
Mkuu,Unaona SASA,Chawa wa Makonda ni nani?ni Mtu kama wewe ambaye unajificha nyuma ya Keyboard kusema maneno lukuki ambayo huna ujasiri wa kuyasema Wazi.Namkumbuka SANA Ben Saa nane.Aliwahi sana kuiacha Chadema.Angeweza Kumjibu Makonda Live mbele ya Kamera sio ninyi ambao mnajificha nyuma ya...
Hana Chuki Bwana.Ana mtazamo Potofu tu.We unafikiri mambo ambayo yanafanywa na Wana CCM kwa sasa na huko nyuma lazima uone kabisa kuna UFISADI ndani ya CCM ila unaweza kukuta huyu ana KADI ya CCM.Kwa siasa za BONGO hakuna sehemu ambayo kuna uzalendo hata wa uongo.iwe CHADEMA,IWE CCM,IWE ACT au...
Bwana we,Makonda kama kweli unahitaji Kupambana naye Kwa maneno lazima uwe naye Ground Zero na uende naye Bampa tu Bampa.Kupambana na Makonda nyuma ya Keyboard hakuna anayemuweze kwa Tabia zenu za Kinafiki na uoga.
In short Bada hakuna anayeweza kudeal na Makonda na Akamnyamazisha.Hata Magufuli...
OK,Hili JIBU lako ni ZURI.Kwanza kabisa Kama umeweza Kuwa Mwenyekiti wa vikundi na chama tayari una KAMVUTO FULANI.Mvuto maana yake ni kukubalika.Swali la PILI ni Je Uenyekiti wa Tawi unautendea HAKI?Je Uongozi wa Hivyo Vikundi viwili Unautendea HAKI?
Kwa Jimbo la Moshi Vijijini naamini kabisa...
Nakubaliana na wewe kwamba CCM,CHADEMA,NCCR,TLP,TADEA n.k.Hakuna kabisa Uzalendo.Ila Wazalendo wanaweza wakawepo.Mwananchi kama huyu anapoanza kuonesha nia ya kushika DOLA iwe ni kwa njia ya CCM au Chama chochote ni jambo zuri sana.Kwani iaonesha kwamba sasa Kila Mtu anatambua wajibu wake na...
Mkuu Ndio.Yaani Kila Mwezi Uwe na Bajeti ya Kutembelea Kijiji angalau Mara Moja.Usalimie Wananchi wenzako,Upige nao Stori,Mjadili changamoto zenu na Fursa,Utengeneze Urafiki wa Kisiasa.Shawishi Baadhi yao wawe na Kadi za Chama,Sambaza Bendera za Chama.n.k.Cha muhimu hakikisha watu...
Mkuu,Kwanza kabisa sikushauri ufikiri kutumia PESA kwa lengo la kupata UDIWANI hasa kama ni Mgeni kwenye SIASA.Kwa Kampeni ya Ndani ya Kata MOJA yenye Vjiji SABA Tengea kati ya 50,000 hadi 150,000 kwa kila kata kwa mwezi kwa kipindi hiki cha mwanzo kisha wakati wa Kampeni Uwe na Angalau Bajeti...
Uzi ni huu Hapa:
https://www.jamiiforums.com/threads/uchochezi-wa-mohamed-said-na-dhihaka-kwa-wapigania-uhuru-wa-tanganyika-na-zanzibar.383235/
Bado niko Nausoma.Naamni kabisa ni Uzi ambao unahitaji kufanywa kitabu ama na Mzee wetu Mohamed Said ama na Yericko Nyerere.Au Wanaweza Kufanya JOINT...
Vyumba Dodoma ni kama tu Miji ya Dar na Arusha.Be ya Chumba Self Contained Unaweza Kupata 60,000 nje ya Mji na 80,000 maeneo mazuri kiasi na 100-120 kwa maeneo ambayo ni standard.Ukitaka Kupata Chumba Kizuri ni vizuri uwe ndani ya Dodoma kwanza ili uwasiliane na Madalali
Kwanza Mleta mada wewe ni wa mwaka Gani?Unatumia Kigezo gani kusema kwamba kizazi cha Y2K kinasikitisha.Kama unawapiwa kwa kutumia uwepo wao JF au wanachofanya mitandaoni basi Fahamu kwamba Jamii forum imeanza mwaka 2005.Internet imeanza 90s kwenda 2000.Wao ndio kizazi ambacho kimelelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.