Recent content by toredomagari

  1. T

    JamiiForums Tanzania Naombeni Msaada Niweze kuacha Kamari ya Aviator, Maisha yangu hayaendi vizuri, Kamari hii Inataka kunitoa Roho

    hyo hali hata mm nimepitia kipind fulani ila kitu kimoja ndug yang kwnz kubali yote ulivyopoteza kwa ajili ya kamali alaf anza kufanya maomb kw imani yako utashinda hilo ni pepo linakuaga jikabizishe maish yko katk sala alaf njoo unipe ushuhuda
  2. T

    JamiiForums Tanzania Nawashukuru kidogo nimeanza kuona mwanga wa kurudi kufanya mitihani chuo pia nashkuru mama angu anaendelea vizur

    Mnakumbuka nlikuja na uzi kwmba nahitaji msaada hata wa mawazo,ilikuwa kushindwa kufanya mtihan wangu wa semester exam kutokana na deni langu la ada kutokana na matatizo ya kifamilia kwasabab nipo na mzazi mmoja tena naye ni mgonjwa.Nashukuru sana kwa mawazo yenu wengine mmenitia moyo...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Ndoto zangu za kuendelea na masomo chuoni ziko hatarini kufutika baada ya kukumbwa na changamoto za kifamilia na kifedha

    Nipo Dar es salaam, ana presha na kisukari ndo vinamsumbua kwa kiasi kikubwa
  4. T

    JamiiForums Tanzania Ndoto zangu za kuendelea na masomo chuoni ziko hatarini kufutika baada ya kukumbwa na changamoto za kifamilia na kifedha

    Nimebahatika kupata mkopo kidogo katika kusoma elimu yangu ya chuo ni mwaka wa kwanza naingia wa pili nimeendelea kusoma vizuri shida ilianzia semester ya pili baada ya kupata matatizo ya kifamilia kutumia hela ya ya boom kumtibu mama yangu na kupelekea kushindwa kulipa baadhi ya hela ya ada...
Back
Top Bottom