Recent content by tope pondwa

  1. T

    Wanafunzi wa kwiro sec wagoma

    Chanzo cha migomo isiyoisha Kwiro sec ni mkuu wa shule, inabidi atolewe ameoza
  2. T

    Wanafunzi wa kwiro sec wagoma

    Hapo bila kumtoa Kimbunga madarakani migomo haitaisha kabisa. Maana huyo mtu ni fisadi wa kunuka.
  3. T

    Udaktari wa Mifugo Tanzania

    <br /> <br /> Felis concollor we
  4. T

    Udaktari wa Mifugo Tanzania

    <br /> <br /> Una uhakika na unachokinena?vipi kuhusu wale fisi,simba,mbweha,kalungulyeye,nyati pamoja na chui?unadhani ni rahisi,sisi ni wamoja mkuu,tushirikiane.
  5. T

    Udaktari wa Mifugo Tanzania

    <br /> <br /> Dah mkuu tunatishana namna hiyo,maana na mimi nimechaguliwa kozi hiyo hiyo.
  6. T

    Kwa wale wa SUA

    <br /> <br /> shukrani kwa ukarimu wako,tutakaribia
  7. T

    Loan board yatoa loan breakdown

    shukrani mkuu kwa taarifa murua
  8. T

    TCU website ina be loaded masaa54 af nothing?¿¿!

    Inashangaza sana yaani tatizo juu ya tatizo!!!Machaguo yamechelewa sana,tumevumilia,yanakuja kutoka saa 50 na zaidi web yao haifunguki,MUNGU atusaidie.
  9. T

    TCU ni kama selection tayari!

    Saidi Maneno hilo halina ubishi mi nimethibitisha,ndio maana kumbe panaitwa HOME OF GREAT THINKERS.
  10. T

    TCU ni kama selection tayari!

    Senetor hiyo ni kweli kabisa nimeangalia programmes zangu zipo,za mshikaji pia zilikuwepo ila za mshikaji mwingine hamna,wameandika hivi,NO RECORDS FOUND,click here to add or modify programess,NI KWELI KABISA.
  11. T

    TCU ni kama selection tayari!

    mkuu umetisha,wewe ni genius.
  12. T

    TCU! TCU! Aisee mnatuchosha....

    <br /> <br /> unakumbuka zile dv.dt zilikuwa zinanikimbiza
  13. T

    Kuna nini TCU mwaka huu

    Jamani umeme hamna,mafuta(dizeli,petroli)ya kubangaiza,hii inaweza ikawa moja ya sababu.
  14. T

    TCU! TCU! Aisee mnatuchosha....

    <br /> <br /> Aisee mie nimependa username yako inanikumbusha BAM.
  15. T

    TCU, nini kikwazo mbona muda unasonga?

    <br /> <br /> duh hapo kazi ipo!!!!!
Back
Top Bottom