Ethiopia ni masikini kama tu utailinganisha na population yake! kwa maana wana watu wengi kuliko wanaoweza kuwa mudu lakini kwene uchumi wanau uchumi mkubwa kuliko nchi yyte ya Africa mashariki
Ilikua hivo lakin sasa inaenda kuwa historia
Mozambique kuna magaidi
Congo vita ina miaka 30
Hivo na bado Tanzania tunapakana na ukanda wa magaidi msumbiji hivo hatupo salama sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.