Mh, kwanza nakupongeza kwa kuwa Waziri mpya wa Nishati. Nina imani na wewe!
Mhe, kutokana na imani niliyonayo kwako.. nisingependa kuona unaharibu kama alivyofanya mtangulizi wako. Hivyo basi nakushauri kufanya yafuatayo :
1. Tengua bodi aloteua Makamba. Bodi imejaa watu wenye makando kando...
Umeongea kwa hisia sana mkuu!
Ila usijali, kuna kitu kinaniambia kuwa bandari hazitachukuliwa.... hata vilivyochukuliwa kienyeji vitarudi.
Kwa imani yangu siachi kusali na kuliombea taifa langu.
Kwa kawaida vita (cold war) kati ya wazalendo na wanyonyaji huwa haziishi. Ni tangu enzi na enzi. Hupoa kwa muda ila badae hurudi tena.
Wazalendo wakishindwa basi wanyonyaji huanza kupambana wao kwa wao mpaka wazalendo wakiinuka tena.
Mfano unalionaje suala la bandari?
.......The League..….
Naiona vita ya Accountant na Annie ikihamia kwa Annie na Carryn!
Kama ulivyo amua kubaki na Annie mwanzo bila kumficha Accountant, hata sasa amua kubaki na mmoja tena kwa uwazi.
Kwa mtazamo wangu wewe sasa hutakiwi kupigania mapenzi bali maisha (mali)! Kama yupo anayeku-offer vyote at a time...
Uwepo wa Anie (kama utashindwa kuficha) utakunyima fursa kwa Caryn.
Feelings kwa Caryn zitakupunguzia ufanisi kazini na utashindwa ku-focus kwenye malengo yako!
Nb: Kwenye kura I go for Caryn!
Itakubidi uamue kumpoteza mmoja japo naona kuwa matokeo yake yatahitaji ujasiri sana!
Ningekuwa mimi ningeachana na Anie.....
Wakati huo ningeishi na Caryn bila kuonesha feelings zozote kwake!
Kiufupi ningefocus kwenye kazi tu!
Mkuu, kwanza hongera kwa uandishi mzuri!
Pili, nakushukuru kwa kujitolea kuleta simulizi hii! Ukiacha kuburudisha akili, mtu makini hakosi cha kujifunza hapa!
Tatu, kwa mtazamo wangu ondoa fikra za mapenzi kwa Caryn. Endelea kufanya kazi kwa bidii, ubunifu, kujishusha huku ukitanguliza akili...
Kwa taarifa yako uponyaji umeanza 2015.... hakuna kinachotokea/kitakachotokea kwa bahati mbaya!
Ombea uponyaji ukamilike kadiri ya malengo ya waponyaji!
Kwanza hakuna mahali nimemtaja Kikwete mkuu, muache mwamba ale mafao yake.
Pili, sipendi kuingia deep kuhusu suala la gesi ila ninachojua ni kuwa liliwahi kunisikitisha sana... hivyo tuliache kama lilivyo.
Kuhusu Facebook kama ilivyo JF watoa maudhui ni walewale.
Hivyo sio kila kilichopo FB ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.