Hili ndio swali hata mimi najiuliza
je chakula hicho walikula wanafunzi tu? yaani chakula kiliwe msikitini wale wanafunzi tu, hata hao walioleta hawakula! basi hapo kuna namna.
Habari wadau
Kutokana msimu huu wa mfungo wa ramadhani, kuna Ndugu yangu anataka anitumie kama tani 20( kontena) za tende kutoka Saudi Arabia ili nifanye biashara.
Sasa nataka kujua ni documents zipi za muhimu ninazihitaji au taratibu za kufuata ili niweze kuupokea mzigo huo.
Natanguliza shukrani
Kuna lengo la maisha, halafu kuna mambo ambayo yanakusaidia kulifikia lengo.
Hapo kwenye lengo ndio kuna maana ya maisha yenyewe,ambapo watu wanatofautina mitazamo na malengo ya maisha.
Lakini msingi mkuu wa hii mitazamo ni kile anachokiitakidi mtu baada ya yeye kuondoka hapa duniani.
Kuishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.