Recent content by Technician

  1. Technician

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hafikishwi kileleni afanyeje?

    Kufikishwa kileleni maana yake nini? Ili ukokjoe kama mwanaume anavyokojoa huna budi kumwelekeza mwenzio cha kufanya kabla hamjaanza kufanya mavitus, Kujiandaa ni somo muhimu sana kwa watu wanaotaka kufanya tendo la ndoa,ni muhimu kuanza kwa sala,ni halali kwako labda iwe mchepuko,usimuonee aibu...
  2. Technician

    JamiiForums Tanzania Ngeleja: Zitto aliomba na kupewa milioni 30 kutoka kwa Rugemarila

    Kwa maana hiyo CDM hawakurupuki siyo kwenye maamuzi yao!! sasa ndo nawaelewa.
  3. Technician

    JamiiForums Tanzania Job Ndugai ni mgonjwa, hawezi hata kuongea...

    Tumuombee kwa mungu apone na arejee ktk majukumu yake ya kitaifa, Ni mwenzetu ni mcha mungu ni mpenda watu asiye na makuu. Ugua pole Mh Job,natumaini tunakutana tena.
  4. Technician

    JamiiForums Tanzania Siyo ajabu kwa Kinana kumwandikia barua Mwigulu Nchemba

    Ni ajabu kwasababu kama wanafanya kazi kitimu inakuaje anakuwa na program inayoenda tofauti na wenzie??? haya ni maajabu ya Mwigulu na Nape ambao wanapanga programs zinazotofautiana ndio maana tunasema ni AJABU SANA.TENA SANA.
  5. Technician

    JamiiForums Tanzania Bunge la katiba kuahirishwa muda si mrefu.

    Kwa mujibu wa mawazo yanayonijia kichwani kuna kila sababu za kuahirisha mjadala wa katiba mpya mpaka maridhiano yatapopatikana kati ya makundi mawili ya kisiasa yanayovutana TAKWA na UKAWA. Sababu ninazoziona: Katiba ni muafaka wa kitaifa zaidi na si sheria wala akidi. Katiba ni ya wananchi...
  6. Technician

    JamiiForums Tanzania Kama hujui ugumu wa kutetea uongo muulize Lukuvi!

    Kutengeneza uongo inaweza kuwa kazi rahisi lakini kazi ngumu ni jinsi ya kuutetea huo uongo na hutakiwi kusahau.
  7. Technician

    JamiiForums Tanzania Katafuna mende badala ya popcon

    Hii tabia ya kuvaa makoti bila kukung'uta ni hatari sana,mende wanajaa sana kwenye makoti.
  8. Technician

    JamiiForums Tanzania Katafuna mende badala ya popcon

    Jamaa alikuwa anatafuna popcon gafla moja ikadondokea ndani ya shati,jamaa kashusha mkono ndani ya shati akamate ki-popcon chake akitafune mara akakuta amekamata bonge la mende akidhani popcon na kutia mdomoni,akahisi kitu tofauti baada ya kushtuka tumemuona akajifanya ni popcon akatafuna na...
  9. Technician

    JamiiForums Tanzania Kituko cha mwaka 90

    Mbona mwenzio siku yangu ya kwanza kusafiri na ndege nilianza kusalimia wasafiri wote ndani ya ndege,unacheza na ushamba nini..
  10. Technician

    JamiiForums Tanzania Game: Zawadi itatolewa. "UJANJA NI......?"

    Ujanja ni kuwahi...
  11. Technician

    JamiiForums Tanzania Ni hatari, Waziri jangili huyu hapa

    Labda tumkamate huyu mleta taarifa tumpeleke mabwepande ndo atatoa majina yote ya hawa mawaziri majangili.
  12. Technician

    JamiiForums Tanzania William Malecela vs Flora Lyimo (Mbuta Nanga)

    Wakati mwingine hupaswi kujiingiza kwenye ligi za aina hii bw Le Mutus,heshima yako inashuka sakafuni hata kama ni kitu kimekuchukiza sana unapaswa kuwa kimya tuu kwani sio lazima kuonesha kiasi cha busara zako zilivy chini kiasi hiki.sasa watu wamesha kujua uhalisia wako.Binafsi sijapendezwa...
  13. Technician

    JamiiForums Tanzania Ulinzi kwa wabunge-kwa maslahi ya taifa au upendeleo maalumu

    Ndugu zangu wa - Tanzania, Kuna mjadala unaendelea kwasasa wabunge wa bunge la Jamhuri ya Tanzania wanataka wapewe ulinzi na serikali. SABABU: 1 Wanapoibua au kufichua ufisadi unaofanywa na kundi la watu ndani ya Serikali/nchi wamekuwa wakitishiwa kuumizwa au kupigwa risasi na kufa...
  14. Technician

    JamiiForums Tanzania January Makamba: Kwa asilimia 90 nitajitokeza kugombea urais 2015

    Ujumbe aliotoa Januari Makamba jana tarehe 02/07/2014 kupitia BBC - StarTV saa 3.00 usiku kuwa anampango wa kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea nafasi ya kuwakilisha chama chake cha CCM kwenye nafasi ya Urais mwaka 2015 bado haujafika kwa walengwa rasmi na kuanza kujadili kama anafaa au...
  15. Technician

    JamiiForums Tanzania Kiasi kingine kikubwa cha gesi chagunduliwa nchini

    Sasa ni wakati muafaka wa kuagiza kanga,T-Shirt,Kofia kwa wingi toka kwa washirika wetu wa maendeleo ya ki-u-chumi CHINA kwa ajili ya mambo yetu yale ili tuendelee kula bata magogoni. Tutaongeza magari ya dereya na yale ya washawasha CUF wanayajua pale mwembechai mwaka uleeeeeeeee.
Back
Top Bottom