Kuwa na wateja wengi haimaanishi ndo kuwa na income kubwa, kinachodetermine kodi ni income na sio wateja. Inawezekana vodacom ina wateja wengi bt wana2mia service zao rarery and at low cost hence income yao kuwa ndogo hatimaye tax kuwa ndogo and vice versa to airtel (POINT TO BE TAKEN IS "TAX IS...
Mkuu ngoja nikusaidie kdogo kwa ufahamu wangu wa computation of duty
kwanza utachajiwa import duty =25% of CIF in local currency
pili utachajiwa excise duty
(i)ED ON CC =(CIF+ID)*10%
(ii)ED ON AGE=(CIF+ID)*20%
Tatu utachajiwa VAT=(CIF+ID+ED ON AGE+ED ON CC+Any other duty)*18%
jumla ya...
Kumbe ndo sababu walianguka,wanamtafuta mchawi aliyewaloga wakaanguka, wakati kauli mbiu yao inasema ''anguka'' sasa utaepuka vipi anguko. Mh! kazi ipo. Watz tusifurahie sana hayo cha msingi tumwombe Mungu sana ili hata kama ni mageuzi yatatokea isewe kama misri,tunisia n.k. Waombaji wa taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.