Aloo,mi nilibugi nikaandika namba za watu wangu wa karibu kama wadhamini,mbona wanakiona Cha moto! Mi wakinipigia nablock muda huo huo! Walinipa mkopo maelekezo nilipe ndani ya mwezi 1 Cha ajab hata week haijaisha wanapiga sim na kutuma mameseji Yao sa kumi na Moja alfajir!
Aloo kama hauna...
Jamani hivi Hawa watoa mikopo Kwa njia ya mitandao wanatuchukuliaje?
Kwanza siku mbili kabla ya mkopo wako kuisha wanapiga simu kuanzia saa kumi na Moja alfajir,
Siku nzima,meseji za vitisho as if siku ya marejesho imefika,kilicho niudhi zaidi wanakupigia sim wanakushawishi lipa hiyo elf 22,440...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.