Tofautisha usenge na uhanithi
usenge - ni hali ya mwanaume kuingiliwa kinyume na maumbile
uhanithi - ni hali ya kupoteza uanamme, yaani kushindwa kusimamisha vyema....
Wadau naomba mnisaidie kupata number za wahusika wa bendi hizi
B-Band and Banana Zorro
Inafrika Band na Wanne Star
Kilimanjaro Band
Please wadau nisaidieni
Hivi nyie watoto wa kike mkoje? ina maana ukiwa na Boyfriend lazima awe anakupa hela, ina maana unamuuzia uhusiano au? hebu acheni mambo ya kijinga kama mnafanyabiashara declare terms mapema ili kabla hamjaanza uhusiano ijulikake kama bond ni hela na sio mapenzi.
Ndio maana mnawasababishia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.