I'm in love with Kigamboni, ukiwa kigamboni unaweza ku access mahali kokote kwa urahisi mno..Mfano ukivuka tu ferry unakutana na kituo kikuubwa kabisaa cha mwendokasi (Center)...
Pili, zile beaches Kigamboni daah,kigamboni kutamu balaa...
JAMANI NISAIDIENI NAISI TAYALI HUU MFUMO UMESHANIENGUA😭
Msaada wakuu ,nlipoona masomo yangu husika hayapo nikaamua kujaza masomo tofauti na field yangu alimradi tu bando lisiishe bure na ilikuwa ucku wa saa tisa juzi kati,nikaona acha tu nisubmit,Sasa jana masomo yangu husika yamewekwa,ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.