Askari polisi anayejulikana kwa jina la Ester ambaye anafanya kazi katika ofisi ya polisi Manyoni amempiga na kumvuja mkono bi Anna anayeishi katika mtaa Kaloleni.
Taarifa za awali zina sema kwamba Polisi huyo alifika nyumbani kwa bi Anna kwa ajili ya kumkamata kwa sababu ya kutuhumiwa na...
Chama changu kinajipambanua kiubaga ubaga kwenye itikadi na falsafa yake ! Tutasimama kusimamia raslimali za nchi hii, twendeni na ACT-Tanzania chama cha wazalendo.
Ndugu wana bodi naombeni msaada,
Nahitaji kusafiri kwenda msumbiji, mimi ni Mtanzania, je ninahitaji visa? ni mahitaji gani yanatakiwa? Nitakaa kwa muda wa siku tano.
Asanteni.
Wadau,
Hizi taarifa za kuuawa kwa wanajeshi wa Tanzania nchini Sudan, je kuna mtu anataarifa ya majina ya wanajeshi hao? mimi nina ndugu yangu toka jana simpati hewani, naomba wadau wa jamii forum mnijuze kwa majina ya Marehemu na waliopata majeraha.
R.I.P wapiganaji wetu wa Tanzania.
Kuna conflict of interest kati ya zitto na mtu flan anayemtumia Ben wa saanane hilo wala halina ubishi kwani siwezi kuamini kwamba Zitto ni saizi ya Ben kwenye siasa ndani ya chadema. Kwa sababu hatuwezi kurudia simulizi zilizopita kwa tukio la kutekwa kwa Kibanda na video ya kutungwa ya...
Nadhani Unaelewa kwamba kupiga kura ni haki yangu, na kura nitakipigia chama ninachokipenda na ninachokiamini ambacho ni CHADEMA.
Mtafaruku huu wawezasababisha nisipige kura na kuninyima haki yangu ya kikatiba.
Ingawa nitaendelea kuwa mipiga kura wa CHADEMA 2015, Ila naomba kuchangia kidogo kuhusu huu utafaruku unaoendelea.
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa matamko na uwasilishwaji wa hoja humu jamvini katika swala la Masalia na PM7,
wengi wamekuwa wakichangia kwa hisia tofauti tofauti na wengine kuja na...
Ben Wa Saanane nazidi kupata shaka, kwenye hili tamko kwani wewe si msemaji wa BAVICHA na kwa kutumia uelewa wangu sioni wapi na sehemu gani katika katiba ya Chadema inakupa mamlaka ya kujibu hoja zinazoikabili CHADEMA. Najua wewe ni binadamu waweza ukawa ulighafilika na mashambulizi juu yako na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.