Huyu bwana ni hewa hasa. Ana wasiwasi na Chadema, na anaona hilo ni tatizo kubwa kuliko uhakika wa wizi ulipo ccm. akili kama hii inakatisha tamaa kabisa... hivyo tubaki na wizi kuliko kujaribu chama kingine... hapa unaona kweli elimu yetu ya kukremishwa haitusaidii kabisa....pole tanzania!!!!
You are also a thinker
Huhitaji elimu ya nyota kujua dini ya mleta hoja hii hapa, tz mbona bado safari ni ndefu tu naona. Hata hivyo upande huo wa medali ulikuwa muhimu kujulikana, hata kama namna ya kuuletaujumbe ndo hivyo tena, hata hivyo mambo huanza hivyo. Labda wanaotoa mada sasa sawasawa...
Kama ni wale polisi wa arusha ambao hawana tofauti yeyote na wanyama kwa kuumwa wenzao, wanapaswa waishi porini na wanyama wenza.
Polisi wanajidhalilsiha wenyewe .. itachukua muda sana kuonyesha polisi ni mtu mwenye akili timamu. Yaani sasa inaonekana kama polisi ni mtu mendawazimu, maana...
Jamani mtoto wa mkulima hana lolote, utashi ni uleule mdogo... Heri hata EL wa Richmond, anaiba na anafanya kazi.. kulilo huyu haibi na hafanyi chochote zaidi ya kucha tuibiwe na Tunaibiwa sasa na watu wengi zaidi.
waziri mkuu hapaswi kusema tu mkuu wa mkoa, au mtu ambaye hana mamlaka ---...
Takukur sijui nini is a dead organ in the existing goverment...
Na wanaishi kwa kodi zetu... shida ni utawala mbovu tulio nao, ambao mtaji wake ni ujinga wa watu wetu wengi... siku zinakuja, ngoja tuendelee kula sangara tupate akili..
udom na Muhimbili walichemsha basi tu..ukiwaona pale walivyovaa hayo mavazi utadhani hivyo vichwa vina kitu...
mkwere naye bila aibu... ukijua wanatakata kukupa kukupima wewe ukiwa na akili si unakataa?? aa!! Sasa vyuo vingine vinajisikia vibaya, mwakani utasikia na jinsi vyuo ni kama utitiri...
kwa upinza ni vizuri makamba akibaki - upinzani unapata mahali kwa kuanzia makamba akiwepo... atachemsha wakati wowote, na hapohapo chchm itashikiwa... kwenye siasa tunahitaji watu wanaokosea - kwa usalama wa wananchi...
mgando mgando...
hata wao wanajua wanabembeleza vyeo... hawako serious!!
mtu mweye akili timamu huwezi kufanya wanachofanya...
ole wao watu wetu wa vijijini waliokwisha amka wajue ujinga huu hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.