Msomi ndo hana Imani!?
kutokuamini kma Mungu yupo ndo kunajufanya uonekane msomi!?
vizur umesema watu wanasali muda wa ibada je unajua huo muda mwingine anafanya nn!?
unapokuwa muongo jaribu kuwa mjanja sababu hapa unadanganya udom karibia kila dini inapewa sehemu ya kufanyia ibada yao kutokana na imani yao na kuhusu majengo udom wana majengo mengi kuliko,mengine hayatumiki
unapoint nzuri ila ukiongelea project out put hausubirii mpk mradi umalizike inaanza the moment mradi umekuwa implemented,wakiwa wanajenga any pblm wao wanaziover come vp!?in short hu mradi una short comin nyingi sana hata haujamalizika, ukimalizika ndo unathan hautakuwa na anymatatizo!?
mradi...
the 1st day alivyo bleed aalibleed alot of blood hadi akawa hana nguvu. Na sahv anableed kidogo kidogo bt ts blood clots sumtymz na alivyokosa bleed for two months alipima upt ikawa positive bt ultra sound haikuonekana kitu chochote kwa tumbo
nina rafiki yangu ambaye alikuwa hajapata hedhi for two months akafanya vipimo vya pregnacy both urine and ultra sound hakuonekana na tatizo sasa ijumaa iiyopita akapata hedhi meanz she start bleeding kwanzia last week friday ila mpaka sahv haijastop...she is comfuzed hapo tatizo ninin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.