Fedha zote za mtaa zinatakiwa zikusanywe kwa kutumia POS machine na risiti ya EFD itolewe kwa kila pesa inayokusanywa na mtaa husika. Hata kama no ulinzi shirikishi fedha hizo hukusanywa na na kuwa deposited kwenye akaunti ya mtaa kabla ya kutumia.
Nimepitia Uzi huu, pamoja na mazuri unayofanya kuitangaza biashara yako kuna mapungufu kidogo kwenye lugha unayoitumia kuwajibu wateja wenye negative comments, deal nao professionally usiwe na jazba.
Tatizo watu wengi hawafahamu kununua nje ni cheap kuliko kununua hapa, kwanza bidhaa zetu hapa madukani nyingi ni fake na bei zake ni kubwa kuliko original za nje. Mimi nina miaka zaidi ya kumi sijawahi kununua bidhaa za electronics hapa tz, na Nina save kiasi kikubwa cha pesa eg TV ya USD 400...
Tatizo wengi wetu huwa tunatoa ushuhuda Wa vitu ambavyo hatuvijui, Mimi ninayo Mitsubishi pajero io toka mwaka 2008 mpaka Leo naitumia ipo bomba kabisa utafikiri nimetoa Leo japan. Tatizo kubwa watu wengi wameaminishwa na mafundi kuwa gari tofauti na Toyota walizozizoea ni mbaya.mafundi sahihi...
Sababu yakuwa cheap ni wauzaji Wa magari wanacheza na demand ya wanunuzi eg kwa tz Toyota zipo highly demanded kwahiyo bei zake zipo juu kulinganisha na brand zingine kama Mitsubishi, Mazda na isuzu. Hii inatokana watu wameamishwa na mafundi kuwa brand tofauti na Toyota huwa hazidumu
Nakubaliana na wewe kwa upande mmoja lakini ukiangalia hata kipindi chanyuma shule ilikuwa inaweza klushindana watu kama mzizima, shabani roberts etc kimetokea nini wakatupiga gape kubwa hivi.hata hiyo michezo iliyokuwa inatupa kiburi atufanyi vizuri.div zero zilikuwepo hata zamani lakini sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.