Recent content by sekulu

  1. sekulu

    UZUSHI Ulaji wa Mihogo mibichi husababisha Uzezeta

    KUna Mtu Kafa?,
  2. sekulu

    KATIBA: Unajua kuwa Serikali haiwezi kushtakiwa kwa kutowajibika

    Siku nikiwa rais nitawafunza adabu, Ntaiba mpaka mumkumbuke rais alienitangulia. Kama siwez kushtakiwa?, Hivi wanasheria (Wale wanaharakati) wetu hawalioni hili
  3. sekulu

    Vimbwanga: Shuhudia mganga aliyevamia uwanjani mechi ya Simba

    Wote ni wale wale.... Paka Biriani = Pira Biriani
  4. sekulu

    Hakuna tatizo miradi mikubwa ya kimkakati kuelekezwa Chato

    I have no Problem with this trust me, Hali ya mfumuko wa bei ikoje kwa sasa?, Kuna muda kama wananchi lazima tupite vipindi vigumu ili tuweze kukaa sawa na kuimarika kama nchi. Kwa upande wangu na Maoni yangu kamili kabisa sioni shida kwa kua yapo mambo ya msingi yanaendelea so acha tuteseke...
  5. sekulu

    Vimbwanga: Shuhudia mganga aliyevamia uwanjani mechi ya Simba

    Mshana Jr wewe ni Chikwende
  6. sekulu

    Vimbwanga: Shuhudia mganga aliyevamia uwanjani mechi ya Simba

    Inawezekana maana matukio kama yale lazima wachezaji waingie Hofu!
  7. sekulu

    Vimbwanga: Shuhudia mganga aliyevamia uwanjani mechi ya Simba

    Naona Pira Nyau Huna cha kusema, hakuna aliesema Simba haijashinda soma uzi vizuri, Soma na uelewe ushindi wa Nyau ni wao kabisa kihalali kwa sasa tunazungumzia yule mganga na Paka lile shume nyau jesuzi zito sura ka linapuliza moto miondoko ya minyato!
  8. sekulu

    Vimbwanga: Shuhudia mganga aliyevamia uwanjani mechi ya Simba

    Sasa kama uliyajua hayo kwanini haukuandika au kwanini haukuanzisha uzi. Tulia leo miminimeona hii ya Paka Shume!
Back
Top Bottom