Siku nikiwa rais nitawafunza adabu, Ntaiba mpaka mumkumbuke rais alienitangulia. Kama siwez kushtakiwa?, Hivi wanasheria (Wale wanaharakati) wetu hawalioni hili
I have no Problem with this trust me, Hali ya mfumuko wa bei ikoje kwa sasa?, Kuna muda kama wananchi lazima tupite vipindi vigumu ili tuweze kukaa sawa na kuimarika kama nchi. Kwa upande wangu na Maoni yangu kamili kabisa sioni shida kwa kua yapo mambo ya msingi yanaendelea so acha tuteseke...
Naona Pira Nyau Huna cha kusema, hakuna aliesema Simba haijashinda soma uzi vizuri, Soma na uelewe ushindi wa Nyau ni wao kabisa kihalali kwa sasa tunazungumzia yule mganga na Paka lile shume nyau jesuzi zito sura ka linapuliza moto miondoko ya minyato!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.