kuwa wanaodai ati wahindi wamehonga hela kwa wakurugenzi wa jiji ili wamachinga waondolewe na biashara za wahindi ziendelee vizuri hali hiyo ndo imesababisha vurugu kubwa leo hadi kufikia kuchoma moto magari kadhaa ya mmoja wa wahindi hapa jijini na kupora mali, hali hii itahusishwa kisiasa tu...
mama hapo umekwisha, maana bek3 huyo kakwambia yeye huwa anakula kavkav. Ataitafakari hiyo ngozi na aende kumwambia mmeo kwamba anaweza msaidia ngozi isitoke na wabush anavyojiachia!!!!!!!! utakomajeeeeeee!!!!!!!!
Maisha ndo yalivyo, poleni sana kwa wale ambao yamewakuta kama hayo, lakini mtambue hata wanaume hutendwa sana na akina dada japokua ni wagumu wa kusema tu. Ni bora upoteze pesa kuliko kudhulumiwa penzi
Jamani jiwe lipo ni kweli, ni suala la mila zaidi sio sayansi ya darasani. sio suala la kilipush kidogo sababu halina uwiano wa kati katika uzito kama "We can" anavyodai hapo juu. watu wanapofikia kulitoa hadharani fahamu limeshafanyiwa uchunguzi wa kutosha, hata wazee wengine hawawezi kulifanya...
Habari toka chanzo kinachoaminika zaonyesha kuwa ajali ya gari ya mafuta (Tanker) mali ya kampuni inayoaminika kumilikiwa na mtoto wa mkuu (Liz one) LAKE OIL kugongana na treni imefichwa ukweli hasa juu ya watu waliokufa.
Vyombo vya habari vimetangaza idadi ndogo sana wakiwemo askari 2 wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.