Rasta barabara ya Bagamoyo eneo la kuanzia Baobab, Kibosha, Mapinga shule hadi Kerege CCM ni kero kwa magari.
Ziwekwe alama nyingine za tahadhari kwa sasa.
Asante. Mimi mpiga majungu... Matumbi na. Kerege CCM. Kwa ufupi nimepiga simu nikaambiwa umeme ni tatizo kwenye mtambo. Unawaka na kukatika. Hebu angalia historia Yangu huko nyuma.
Baada ya siku tano mpaka leo tar. 24 Oktoba maji hayatoki hususani eneo la Kerege CCM. Sijui maeneo mengine.
Meneja bagamoyo ufafanuzi tafadhali.
Nimeuliza wanasema ni tatizo la umeme kwenye mitambo. Hivi gesi ya mtawra inafanya nini?
Inaudhi unatoka kulitumikia taifa unarudi nyumbani unakuta...
KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA MKOA NA WILAYA INATOA TAARIFA YA HALI ya USALAMA YA WILAYA NA MKOA KILA SIKU KWA MUDA MAALUMU KWA RAIS,. NAAMINI HATA KABLABYA ZOEZILILE KUFANYIKA, MKUU ALIKUWA NA TAARIFA KUWA ENEO MOJA NDANI YA NCHI YAKE KUNA jambo LINAFANYIKA DHIDI YA RAIA LIKIWASHIRIKISHA...
Pole sana. Ukiwa unasafiri na mabasi yoyote jaribu kuwa makini na mizigo yako hususani begi za laptop n.k wakati was kwenda kula beba na hata wakati was kuchimba dawa pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.