Recent content by Salahan

  1. Salahan

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Yap ni ndogo kwangu kazi inachukua siku 4 kukamilika so kuongeza speed ikawa siku 2 ivyo yani
  2. Salahan

    Kenya unveiled a sixth submarine internet cable

    Mbona sisi cable tunazo kitambo
  3. Salahan

    TOP 10: Nchi za Afrika zenye Internet yenye kasi kubwa ku"download"

    Iyo speed nikwa wastani au....maana kuna vifurushi vya 10,20,30,40,50,100mbps sasa sijajua hivi vipo upande wa business tu au
  4. Salahan

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Nami yamenikuta sikuwa najua nilihisi ni tatizo la mtandao hasa ukizingatia nipo nje ya dar es salaam wanakoiuza kwamba ndio ilipo 5g.Baada ya kufatilia huduma kwa wateja ndio wananiambia wako na user limit policy. Mwanzoni kwa speed ya 10mbps cha 70000 kwa Mwezi haikuwa kuwekwa limit hiyo ila...
  5. Salahan

    Mlipuko huu wa Rooters za WIFI kwa kampuni za Simu ipi ni nzuri Kwa matumizi nyumbani?

    Kwa inategemeana na mahali ulipo kwani kuna maeneo mtandao A unashika sana wajati mtandao B unakuwa hafifu. 1.Fiber Ndio chaguo lakwanza ikiwa upo maeneo yaliyofikiwa na mtandao wa fiber wa TTCL hasa maeneo ya mjini.Yapo makampuni binafsi yanasambaza fiber ila kwa gharama ya juu kidogo...
  6. Salahan

    MOVIE & SERIES UPDATES

    Habari Wakuu! Je wewe ni mdau wa movie na series? Zilizotafsiriwa ama Zisizotafsiriwa Basi Tupo Kukuhudumia Huduma tunatoa online na ofisini kwa bei poa ZILIZOTAFSIRIWA Movie moja Tsh.500/= Kuuploadiwa (special request) Movie moja Tsh.1000/= Sizoni Kila Episode Tsh.100/= Zikiwa zaidi ya 50...
  7. Salahan

    Wakristu kitu gani kimewakuta mpaka mmeanza kuwaiga waislamu?

    2:117......na anapo taka jambo basi huliambia tu: Kuwa! Nalo huwa. Kuhusu mungu kujiweka katika tumbo... Kwamba asipofanya ivyo basi hana uwezo... Jibu ni kuwa Mwenyezi Mungu anauwezo wakufanya/kuamuru jambo lolote lakini sio kujizalilisha utukufu wake. Natoa mfano ili ieleweke maana ya kuwa...
  8. Salahan

    Biashara ya pochi ndogondogo

    Biashara ya pochi ndogondogo za kike nainai chambuu 💥4000 Kuanzia pisi 20 🔥5000 Kuanzia Pisi 10 ⚡6000 Kuanzia Pisi 2 🌟7000 Pisi 1 (Rejareja) 😋Unaweza kuuza 7000-10000 📍Tupo Morogoro Mjini Mtaa Wa Konga Jirani Na Aika Lodge 0713055107
  9. Salahan

    UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

    ndugu unaelewa mana ya maneno haya hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza naona nakuelekeza kwamba iyo aya umeielewa vibaya ijapo ipo wazi tu wakati kila kitu wakiona hapo kwa kiswahili.Ivi hujui unaoneka mzushi tu mana maneno yapo wazi nashangaa unazidi kukomalia lililo wazi kabisa.Labda...
  10. Salahan

    Naombeni vigezo vya kuwa Muislam

    49:14 Mabedui wamesema: Tumeamini. Sema: Hamjaamini, lakini semeni: Tumesilimu. Kwani Imani haijaingia katika nyoyo zenu. Na mkimt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote katika vitendo vyenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.15 Hakika Waumini ni wale...
  11. Salahan

    Ni aibu kuwa Msumbiji wana megawatts 187000 na sisi tuna megawatts 1500

    kwa mwaka 2021 Mozambiq ilikuwa nafasi ya 82 huku Tanzania ikiwa 111. https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_countries_by_electricity_production#cite_note-eia2021-2 Naamini kukamilika kwa mradi wa nyerere unaotarajiwa kuzalisha megawat 2115 sawa na 2.115Gwh so ili kuw akwa mwaka tutazidisha mara...
  12. Salahan

    UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

    sijakuelewa but nijuacho dini haiongozwi/kufuatwa toka kwa mtoto wa mfalme bali hufuatwa kwa kurejea quran na hadithi sahihi katika vitabu vinne kama hadithi aliyotoa kwamba ipo katika alizozisema uyo mtoto wa mfalme sijui ila hatufuati toka kwa mtoto wa mfalme wala mfalme mwenyewe.
  13. Salahan

    UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

    ACHA KUZUSHA KAMA HUJUI ENGLISH BASI ACHA NIKULETEE KWA KISWAHILI 17:59 Na hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza ila ni kuwa watu wa zamani waliikanusha. Na tuliwapa Wathamudi ngamia jike kuwa ni Ishara iliyo dhaahiri, lakini walidhulumu kwaye. Nasi hatupeleki Ishara ila kwa ajili ya...
Back
Top Bottom