Recent content by saadmad

  1. saadmad

    Kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana kwa kutumia waganga wa jadi?

    Tatizo vijana wenzetu wamevurugwa na maisha na wanazidi kuji vuruga zaidi. Haya mambo ni imani maana kuna watu wamezaliwa katika familia au koo zenye kuendekeza ushirikina so wanafikiria kila jambo ni ndumba tu. Imagine, sampuli ya watu hawa wanakua wasindikizaji tu maana hata wakibahatika...
  2. saadmad

    Lazima kijana utambue mambo yafuatayo ndipo ufanikiwe

    Hongera mdau kwa kutoa mawazo yako yapo ya kujifunza hapa na ku ignore! Kuna wana wamebeza lakini watakuja kuitafuta hii post wafanye revision soon
  3. saadmad

    Samaki aina ya lobsters na crab (live)

    Nandhani maana yake wakiwa hai
  4. saadmad

    Graduates wengi tunapitia wakati mgumu sana, sema jamii inaona kama hatujielewi

    Pole sana kaka maana umetype kwa feeling until umeweza kuchanganya na lugha fulani. Ni ukweli usio pingika hio hali ipo katika jamii zetu na mitazamo ipo mingi sana, binafsi hio hali nimewahi kuipitia mwaka 2014-2015 na ilifikia wakati mpaka kutokua na maelewano mazuri na mzazi wa kiume kwa...
  5. saadmad

    Huwa unatumia kiasi gani cha pesa kwa siku?

    Hahahahaha! Roger that Mkuu
  6. saadmad

    Huwa unatumia kiasi gani cha pesa kwa siku?

    Hahahahahahahaha! ili takiwa ukisie mdau kwa siku unalipia nyama laini pesa ngapi kuna wadogo zako wanajifunza hapa financial management
  7. saadmad

    Huwa unatumia kiasi gani cha pesa kwa siku?

    Petrol 2,500 Chai/Lunch/ Dinner 10,000 Mengineyo 5,000 Jumla: 17,500
  8. saadmad

    Kisa cha Mwarabu muuza madawa ya kulevya Kariakoo: Ilikuwa balaa na faida

    Kiongozi uliwezaje kuweka Dola laki 3 kwenye soksi na kuondoka nazo? Hivi ushawahi kuziona Dola laki 1 zinakua na muonekano upi? Nakutakia mafanikio mema mwaka mpya huu
  9. saadmad

    Nataka kuacha Chuo nijiingize katika ujasiriamali kwa mtaji huu

    Habari kijana mwenzangu, pole sana kwa hali ya kimaisha unayokutana nayo kwa sasa, nakupa pole sababu niliwahi pitia hali inayofanana na hio miaka 6 iliyopita nikiwa chuoni kama wewe ila ushauri wangu usiache hicho chuo wala ku postpone ni heri ukomae na ukubali hali yako ikiwezekana jiweke wazi...
  10. saadmad

    Kiwanja au Ng'ombe?

    Asante!
  11. saadmad

    Kiwanja au Ng'ombe?

    Jaribu Mpakani ipo Mkoa wa Pwani, mbele ya Mkuranga na kabla ya kibiti
  12. saadmad

    Kiwanja au Ng'ombe?

    Hii ni kitu naifuatilia kwa sasa maeneo ya Jaribu mpakani
  13. saadmad

    Kiwanja au Ng'ombe?

    We jamaa tunafanana mawazo hivi
Back
Top Bottom