Recent content by rifwima

  1. rifwima

    NECTA watangaza matokeo ya kidato cha nne, kidato cha pili na darasa la nne

    Wachache sana watakuelewa. Yaani tunashangaza sana.
  2. rifwima

    Kero za Usafiri wa Barabarani Kipindi hiki cha Christmas na Mwaka Mpya

    Kuna mambo ya hovyo yanafanywa na watu nchi hii bila kufuata sheria Wala taratibu wakati huohuo mamlaka zinaangalia tu!!! Ajabu! Haya ndiyo niliyoyashuhudia Stand ya Magufuli Mbezi. 1.Nauli holela Dar - Mwanza nauli ni kati ya 40,000-50,000 kutegemea na daraja la bus. Kipindi hiki ukienda...
  3. rifwima

    Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

    Kuna uwezekano hajui vyama vya siasa na mikuto yote ya vyama vya siasa ni takwa la Kikatiba na sheria [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. rifwima

    Watanzania hatuna Shukrani. Kuna Kipindi Tushukuru kwa haya

    Tatizo linaanzia hapo, kudhani nchi ni Mali ya Serikali! Tatizo linaanzia hapo kudhani nchi na haki za raia ni hisani ya Rais au Kiongozi fulani au Polisi! Tatizo linaanzia hapo kudhani Uzalendo ni kuwa CCM! Tatizo linaanzia hapo, kudhani Uzalendo ni kutoikosoa Serikali na kutokuwawajibisha...
  5. rifwima

    Katibu Mkuu wa UVCCM Kenani Kihongosi akiongea na Wanahabari Agosti 03, 2021

    Mipaka ipi ya uhuru inayokiukwa au kuvunjwa kwa watu kuhudhuria kwenda kusikiliza kesi ambayo inaendeshwa kwenye mahakama ya wazi? Yaani wewe umejazwa ujinga tu na unachokijua ni kutumia maguvu tu badala ya akili. Pole sana!
  6. rifwima

    Katibu Mkuu wa UVCCM Kenani Kihongosi akiongea na Wanahabari Agosti 03, 2021

    Taratibu zipi zinazovunjwa/kiukwa? Ebu tueleweshe na hivyo vifungu na sisi tupate kuelewa. Shauri hili kwa mujibu wa sheria zetu linatakiwa liendeshwe mahakama ya wazu kuruhusu umma kushiriki na kuangalia mwenendo. Sasa sijui wewe unaongelea taratibu zipi? Tatizo la nchi hii ni watu...
  7. rifwima

    Katibu Mkuu wa UVCCM Kenani Kihongosi akiongea na Wanahabari Agosti 03, 2021

    Sheria gani inavunjwa kwa watu kwenda Mahakamani kusikiliza kesi ya wanaedhani ni kiongozi wao? Ebu tutajie hivyo vifungu vya sheria na sisi tuelimike kidogo. Kinyume na hapo shut up and leave the platform.
  8. rifwima

    Katibu Mkuu wa UVCCM Kenani Kihongosi akiongea na Wanahabari Agosti 03, 2021

    Mbona unafikra za unyaniunyani sana? Yaani karne hii ya 21 unaona ni sifa kupiga, kuumiza na kuua binadamu mwenzako kisa tu anatumia uhuru wake? Mbona mna mambo ya kijima sana! Ukute wewe ni miongoni mwa waliopewa dhama ya vyeo na fikra ndo hizi za kinyaninyani! Kwa aina hii ya watu it will...
  9. rifwima

    Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

    Kwa hiyo uzalendo ni kukubaliana na yanayofanywa na Serikali? Kwani Serikali ndo nchi? Kwa hiyo uzalendo ni kutukuza viongozi kama Rais? Kwani Rais ni nchi? Kwa hiyo Uzalendo ni kukubaliana na matendo maovu yanayofanywa na vyombo vya dola dhidi ya watu wake? Kwa hiyo vyombo vya dola ni nchi...
  10. rifwima

    Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

    Tatizo linaanza na fikra hizi, kudhani haki ni hisani inayotolewa na kiongozi fulani na si zao la sheria za nchi!
  11. rifwima

    Anthony Diallo anazeeka vibaya

    Uandishi wa UVCCM ni ishara tosha na dalili tosha kwamba tunayoshida kama Taifa. Sasa kama amekuwa siyo muadilifu kwa kiwango ulichobainisha, ilikuwaje na inakuweja ameendelea kuwa kiongozi wa CCM ngazi ya Mkoa? Pia tambua, uzalendo siyo kuwa mwana CCM au kuunga mkono Serikali au Kiongozi...
  12. rifwima

    Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

    Unaambiwa mtu mwenyewe alikuwa kichaa na faili lake Milembe lakini bado Kuna kiwango cha kutosha cha Watanzania walikuwa na bado wanamuelewa. Kwa aina yako hii ya Watanzania itahitaji "Generational Drift" kupiga hatua stahiki ya maendeleo. Kinyume na hapo tusahau!
  13. rifwima

    Nimechukia sana kukosekana kwenye ajira za jana. Nina jazba sana nimekata tamaa

    Sure, na ndo umuhimu wa kuruhusu sector binafsi istawi. Toka Uhuru hadi sasa watanzania wanaoajiriwa na Serikali hawavuki Laki sita (600,000) miongoni mwa Watanzania wapatao 61+ M. Sector binafsi mfano shule za binafsi, vyuo vya kati vya binafsi na vyuo vikuu vya binafsi vingeweza kusaidia...
Back
Top Bottom