Kuna mambo ya hovyo yanafanywa na watu nchi hii bila kufuata sheria Wala taratibu wakati huohuo mamlaka zinaangalia tu!!! Ajabu! Haya ndiyo niliyoyashuhudia Stand ya Magufuli Mbezi.
1.Nauli holela
Dar - Mwanza nauli ni kati ya 40,000-50,000 kutegemea na daraja la bus. Kipindi hiki ukienda...
Tatizo linaanzia hapo, kudhani nchi ni Mali ya Serikali! Tatizo linaanzia hapo kudhani nchi na haki za raia ni hisani ya Rais au Kiongozi fulani au Polisi! Tatizo linaanzia hapo kudhani Uzalendo ni kuwa CCM! Tatizo linaanzia hapo, kudhani Uzalendo ni kutoikosoa Serikali na kutokuwawajibisha...
Mipaka ipi ya uhuru inayokiukwa au kuvunjwa kwa watu kuhudhuria kwenda kusikiliza kesi ambayo inaendeshwa kwenye mahakama ya wazi?
Yaani wewe umejazwa ujinga tu na unachokijua ni kutumia maguvu tu badala ya akili.
Pole sana!
Taratibu zipi zinazovunjwa/kiukwa? Ebu tueleweshe na hivyo vifungu na sisi tupate kuelewa.
Shauri hili kwa mujibu wa sheria zetu linatakiwa liendeshwe mahakama ya wazu kuruhusu umma kushiriki na kuangalia mwenendo.
Sasa sijui wewe unaongelea taratibu zipi? Tatizo la nchi hii ni watu...
Sheria gani inavunjwa kwa watu kwenda Mahakamani kusikiliza kesi ya wanaedhani ni kiongozi wao? Ebu tutajie hivyo vifungu vya sheria na sisi tuelimike kidogo.
Kinyume na hapo shut up and leave the platform.
Mbona unafikra za unyaniunyani sana?
Yaani karne hii ya 21 unaona ni sifa kupiga, kuumiza na kuua binadamu mwenzako kisa tu anatumia uhuru wake?
Mbona mna mambo ya kijima sana! Ukute wewe ni miongoni mwa waliopewa dhama ya vyeo na fikra ndo hizi za kinyaninyani!
Kwa aina hii ya watu it will...
Kwa hiyo uzalendo ni kukubaliana na yanayofanywa na Serikali? Kwani Serikali ndo nchi?
Kwa hiyo uzalendo ni kutukuza viongozi kama Rais? Kwani Rais ni nchi?
Kwa hiyo Uzalendo ni kukubaliana na matendo maovu yanayofanywa na vyombo vya dola dhidi ya watu wake? Kwa hiyo vyombo vya dola ni nchi...
Uandishi wa UVCCM ni ishara tosha na dalili tosha kwamba tunayoshida kama Taifa.
Sasa kama amekuwa siyo muadilifu kwa kiwango ulichobainisha, ilikuwaje na inakuweja ameendelea kuwa kiongozi wa CCM ngazi ya Mkoa?
Pia tambua, uzalendo siyo kuwa mwana CCM au kuunga mkono Serikali au Kiongozi...
Unaambiwa mtu mwenyewe alikuwa kichaa na faili lake Milembe lakini bado Kuna kiwango cha kutosha cha Watanzania walikuwa na bado wanamuelewa.
Kwa aina yako hii ya Watanzania itahitaji "Generational Drift" kupiga hatua stahiki ya maendeleo. Kinyume na hapo tusahau!
Sure, na ndo umuhimu wa kuruhusu sector binafsi istawi.
Toka Uhuru hadi sasa watanzania wanaoajiriwa na Serikali hawavuki Laki sita (600,000) miongoni mwa Watanzania wapatao 61+ M.
Sector binafsi mfano shule za binafsi, vyuo vya kati vya binafsi na vyuo vikuu vya binafsi vingeweza kusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.