Lil Beto lilikuwa muhimu sana sijui watoto wa sasa kama wanasogea hata jikoni. Halafu chakula kilikuwa kitamu kweli yani ukikosa unasikitika hasa. Typing ya Mgusie mie nilifanya zilikuwa zinaitwa Option. Kulikuwa na nedlework, cookery, PE sijui kama bado zipo woodwork, metal work, zilitusaidia...
Mama Msuya yupo shule moja ya misheni ya st. louis ni mwalimu mkuu pale. Tena bado yupo na ile pickup yake. Mama minja na mwishilio wa kila sentensi isintiti? teh. Mnamkumbuka mwalimu Nkya wa workshop ya wood akikuta hujachomeka shati au umekunja kidogo kwenye mikono adhabu yake utakoma. Vipi...
Usijali foleni imeanza kupungua kuna ndugu yangu aliondoka Arusha jpili usiku saa 3 akafika saa 12 asubuhi jtatu mchana saa 7 akanywa dawa then saa 8 mchana wakaondoka jtatu hiyo then usiku wa manane wapo arusha washarudi na dawa wamekunywa wao gari yao ilikuwa ya 200 walipofika hiyo saa 12 asubuhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.