ulieuiza swali hope iphone ni best kwa mtandao, usiogope touch screen, ila ununue genuine iphone fake za kichina nyingi sana, 3GS 8gb ni 1.2m sapna! unadownload hadi movie!
kaka haipo namna hiyo hiyo gari ni 3300$, add 1080 shipping, km 600$ inspection etc,then weka duties na uchakavu hapo dar port, lazma itafika above 10m!unless nievade kodi!
pole sana dada, vipi kwa wale wanapatwa maumivu baada ya kutokewa na miscarriage? kwani unakuta mwanzo walikuwa normal ila baada ya miscariagge wanapatwa na maumivu sana na mimba haipatikani tena. wanaweza kutumia nini? samahani mimi na dokta mgemni kiasai katika fani nimekutana na hiyo case...
sitaki kuamini ikwete na kampeni zoote, majivuno leo hii anafyata kwa naslahi ya lowasa,rostam na chenge, this is awkward and tremendous. kama kweli Mungu yupo JK hii awamu yako imeanza na failure kubwa sana na hutofika mbali kwa hali hii, nchi itakushinda. sio dua la kuku i mean it , and it...
itajinyonga chenge akiwa spika na may be itakuwa mwisho wa ccm ya sasa na kuanzishwa live udkteta na kulipizana vsasi, apewe sitta, wabunge waeu shauri yenu msituangushe kuleni hela na Sitta apite hope hata JK anatamani sitta apite
unaongea hujui nkodi wanazokata ktk hizi bidhaa, imekuwaje net ya sh 6000 inauzwa sh 500? mbona imewezekana acha kufikiria ndani ya box wewe, waza nje ya box pia na mawazo mgando acha, yeyusha akili hiyo
kuna mtu pembeni yangu hapa ni mtu wa makamo kavaa kofia ccm, tshirt ccm ananiomba nauli aende nje ya mji kidogo hapa tanga, nkamwuliza wewe ulkuja kufanya nini town? kasema alijiandikisha huku na alikuja mpigia JK kura yake, na sababu yake ati ni kuwa waliambiwa waiokoe nchi na makafiri so...
naungana mkono nanyie, atleast sisi wengine tunajimudu huu ndio ukweli tulikuwa tunalilia zaidi hao masikini zaidi, but wao wanadanganyika sana wakairudisha the dudu klinalowala, acha waumie hadi wajitambue, sionei mtu huruma wakalilie pale ikulu, mijutu masikini ukiiambia tuchange regime...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.