Recent content by Realist

  1. R

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Hongera sana mkuu .... ni vizuri kuweka picha za shamba lako kuliko hizi za gooooogle.com
  2. R

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Asante kwa uzi mrefu na wenye kila taarifa muhimu sana juu ya zao hili la Tikiti-Maji. Sasa tuingie shambani maana msimu ndio huu...
  3. R

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Mkuu ingawa sijawahi kulima tikiti lakini najua tikiti lina shina moja tu hata kama limesambaa kiasi gani, kwa hiyo umagiliaji wa namna hii sijui kama utakuwa na tija. nivizuri kumwagilia shina tu.
  4. R

    Edward Lowassa na Wanaomzunguka

    Hahahah I hope Mungu alikutumia SMS kukujulisha hilo.
  5. R

    Ajali yatokea Skansika Tegeta darajani

    RIP Mzee wetu. Dada yangu Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu. Mungu ametoa, Mungu ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe.
  6. R

    Fahamu kuhusu cctv surveilance na faida zake kiuchumi na jamii

    Naomba unijulishe hizi DVR ni Brand gani, OS gani zinatumia (Windows au Linux) pia ina support Video Compression gani.
  7. R

    Sheria na taratibu za kuasili (Adopt) mtoto Tanzania

    Cheusimangala; Je ulifanikiwa kuasili mtoto? hebu tujuze taratibu zikoje . . .
  8. R

    Ku-adopt mtoto

    Daughter, ulifanikiwa na zoezi la kuasili mtoto (adopt)? Hebu tupe uzowefu wako.
  9. R

    Msiba kwa wafugaji wa kuku wa mayai -- Mayai yamefurika bei chini toka Mombasa!

    FUSO: Mimi nadhani ni muhimu kwa wafugaji wetu kwenda Kenya na kujifunza ni njia gani wanatumia hadi gharama zao za uzalishaji zinakuwa chini kiasi hicho. kama serikali yao ina wasaidia kwa kiasi fulani basi tuomba na sisi serikali yetu itusaidie. Lakini tunapokuwa kwenye soko huria tusikimbilie...
  10. R

    Huduma ya kuletewa maji kwa matumizi ya nyumbani - kwa water tanker

    Gogozito: Mimi niko Dar maeneo ya Tabata Segerea sasa maji huku ni issue na nikiangalia maji yote yanayopatikana ni ya chumvi. unaweza kutuelimisha kidogo ukichimba hizo metre 90 ni lazima upate fresh water? na kama unafahamu gharama za uchimbaji na gharama zingine za vifaa. Hebu tujuze kidogo...
  11. R

    Taarifa ya serikali juu ya mgomo wa madaktari

    Jumapili Mtoto wa mkulima alisema Ulimboka hakumaliza internship yaani alifukuzwa kabla ya kumaliza na hakuna ushahidi wowote kuwa alifanya baadae ingawa alisamehewa na Rais Mkapa baada ya mgomo.
  12. R

    Usiogope kujenga nyumba Tanzania kwa kuogopa gharama

    Njia rahisi ya kupata gharama za kujenga na hasa tofali ni kuhesabu tofali ambazo wewe unakwenda kujenga. Mfano kama nyumba yako ni ya tofali 3,000 basi tofali moja wanajenga kwa 350 na hii ni bei ya juu hivyo 3,000x350=1.05M. Sasa hiiyo itakupa picha angalau wakati unaongea na fundi kuweka...
  13. R

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Sijui unakaa maeneo gani lakini kama kuna gereji au soko yaani mahali penye watu wengi. Unaweza ukanunua baiskeli (pia sijui huko itakuwa shilingi ngapi) halafu watu wakawa wanakodisha na kurudisha. Nakumbuka hapa wanatoa 300/= hadi 500/= kutegemeana na umbali. Unaweza weka mbili ukipata watu...
Back
Top Bottom