Ni hatari sana aisee!! Nimelelewa nikifahamu mwanaume ndio mtawala wa kila kitu, lakini leo nashangaa kuona wanaume ndio wa kwanza kulia na kulalamika hovyo kuliko wanawake.
Leo badala ya mwanaume awe ndo mwenye kumua uelekeo wa mahusiano ,eti yeye ndo anatafuta kushauriwa afanyeje.
Mara ooh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.