Recent content by QueenQueen

  1. Q

    Nini maana ya 'Love Connect'?

    Ebu tuelimishane. Kwa muda mfupi niliojiunga JF nimekua nikisoma sana post za love connect na responses mbali mbali zinazotolewa na members and I must say am deeply dissapointed. Naona hii ni section ya watu kuandika kama wanatafuta wapenzi then wasubiri kuzodolewa,discouragements,kejeli and...
  2. Q

    Looking for male partner

    Watu wanolewa hata wakiwa in their 40s inategemea ulivyopangiwa na Mungu.
  3. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    No Thank u
  4. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Hy ni zamani,siku hz ndoa zinafungwa mpya ila sie makanisa yote yanakubali,inategemea ground za kuvunjika kwa previous ndoa.
  5. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Ahsante,karibu Rafiki.NitakuPM email yangu usipate shida mawasiliano.
  6. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Tuwasiliane PM nafanya shortlisting bado.We can speak the same language I have noted.Nadhani itabd nifanye exceptions kwa miji,Mwanza hapo flight kila siku,eeh nisije tena nikaambiwa nina majigambo maana watu wengine humu hazimo kbs.
  7. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Ndoa za siku hz sio za zamani,watu wanaachana kila kukicha kwa sababu mbali mbali,there are few good men out there wameachika they need a second chance.
  8. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Ahsante nitafanya mawasilino.
  9. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Yaani we ndo umepotea kweli,aliyekuambia nakuhitaji ww nani?U seem to have what is known as inferiority complex.Hukuhitaji kutoa ushauri ktk hii post,kuna section ya ushauri,kha. Level ya kufikiri iko chiniiii.
  10. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Don't judge a book by its cover ndugu yangu,wife material kwako sio kwa mwingine,ni mitazamo tu,sasa ww mtu akwambie uende ukanywe soda pale ndo umpate mwenzi sie ni sawa amekuequate na changu?Na nilivyomjibu sie kujisifu ila ndo ukweli wenyewe.
  11. Q

    Am soooo tired of being lonely

    Hii nimeipenda,it works for some people.
  12. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Natoa shukrani nyingi kwa wote walionitumia PM,naomba kama umri wako uko under 35 tafadhali usinimsg.Kama tumechati ukaona kimya ujue haupo tena kwenye shortlist.Usijisikie vibaya manake mwisho wa siku ni mtu mmoja tu anahitajika.
  13. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Kaka asante,Mimi sie mnywaji sana occasionally bia 2,whiskey kidogo,wine kdg.
  14. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Nashukuru Bwanga Very unfortunate kiukweli ningependa 35-45 old man
  15. Q

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Kwa kuongezea tu Mlimani City naenda sana tena sio kunywa soda cause pesa za kutumia ninazo.
Back
Top Bottom