Recent content by Al Watani

  1. Al Watani

    Kwa wale Wapenzi wa Wenzangu wa Muziki wa Congo DR ( Bana Bandeko Nangai ) hivi Bendi ya Wenge Musica BCBG isingevunjika leo tungekuwa na huu Ubunifu?

    Nje ya maada kuna mwanadada anaimba Rhumba kanaitwa Cindy Le Couer kana sauti fulani tulivu balaa. Napenda nyimbo zake mbili Mon Bonheur na Je Te jure.
  2. Al Watani

    Coffee table ya Milioni 3, sasa ipate kwa milioni 1 tu. Fanya haraka

    Hii ni coffee table au Chura?
  3. Al Watani

    Sophia Mfaume: Wakuu wa wilaya hatuna Magari, tunaazima Halmashauri na kwa RAS

    Sawa lakini halmashauri hiyo hiyo kumwazima gari DC haijakaa sawa. Hizi ofisi za wakuu wa wilaya nje ya kuwa wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wilayani hazina kitu kingine cha maana. Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  4. Al Watani

    Mkulazi ya NSSF

    Wamefikia wapi ? Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  5. Al Watani

    Umoja wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Tanzania (TSSA) kufufua viwanda 20 ambavyo havijafanyakazi miaka 25

    Wamefikia wapi ? Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  6. Al Watani

    Sophia Mfaume: Wakuu wa wilaya hatuna Magari, tunaazima Halmashauri na kwa RAS

    Halmashauri hiyo hiyo anaongoza halafu inamwazima gari ? Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  7. Al Watani

    Maisha ya uzeeni bila hela ni tabu sana

    Mimi sijawahi kudate mwanamke anayenikaribia umri. Wengi nawazidi 5 years and above. Iliwahi kutokea 2018 kuna mwanadada alikuwa na kababyface huyo ndiyo alinitrick kumbe alikuwa ananizidi 2 years ila nilipogundua hatukurudia tena hata kukutana tu. Sent from my SM-A105F using JamiiForums...
  8. Al Watani

    Maisha ya uzeeni bila hela ni tabu sana

    Kusema kweli mimi napenda wanawake under age kwangu. Kuliko 30+ kwangu ni turn off kubwa mno Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  9. Al Watani

    Za ndaani: Barbara Gonzalez kuchukua nafasi ya Salim 'try again simba

    Magori na yeye ni mshauri wa Dewji kwani ukitoa hoja bila kuita watu mbumbumbu kuna kitu utapungukiwa ? Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  10. Al Watani

    Za ndaani: Barbara Gonzalez kuchukua nafasi ya Salim 'try again simba

    Mo alisema mwenyewe ametoa 3B kwajili ya usajili. Wewe taarifa za kuvuja wachezaji hawalipwi mishahara unazitoa wapi ? Club imeshiriki AFL, ina wadhamini zaidi ya sita ikose pesa za kulipa mishahara kuliko kipindi ambacho ilikuwa na mdhamini mmoja. Sitaki kuwa dumb wa kuamini kitu ambacho...
  11. Al Watani

    Za ndaani: Barbara Gonzalez kuchukua nafasi ya Salim 'try again simba

    Na Mbet anawalipa pesa nyingi kwa mwaka kuliko mkataba wa zamani wa Sportpesa. Pia kwa sasa wana wadhamini wengi kuliko awali sasa pesa ya Mo wanaitaka ya nini wakati CAFCL, gate collections na wadhamini wa ligi na matangazo wanatoa pesa.? Labda kama kuna hoja ya matumizi mabaya ya fedha za...
  12. Al Watani

    Nini kimefanya bunge lipoteze mvuto?

    Walipofuta live coverage ya bunge watu wakaamua kupotezea mazima. Uchaguzi wa 2020 ulikuja kumalizia tu. Nani apoteze muda kufuatilia bunge la Tulia ? Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom