Nje ya maada kuna mwanadada anaimba Rhumba kanaitwa Cindy Le Couer kana sauti fulani tulivu balaa.
Napenda nyimbo zake mbili
Mon Bonheur na Je Te jure.
Sawa lakini halmashauri hiyo hiyo kumwazima gari DC haijakaa sawa.
Hizi ofisi za wakuu wa wilaya nje ya kuwa wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wilayani hazina kitu kingine cha maana.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mimi sijawahi kudate mwanamke anayenikaribia umri. Wengi nawazidi 5 years and above.
Iliwahi kutokea 2018 kuna mwanadada alikuwa na kababyface huyo ndiyo alinitrick kumbe alikuwa ananizidi 2 years ila nilipogundua hatukurudia tena hata kukutana tu.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums...
Magori na yeye ni mshauri wa Dewji kwani ukitoa hoja bila kuita watu mbumbumbu kuna kitu utapungukiwa ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mo alisema mwenyewe ametoa 3B kwajili ya usajili.
Wewe taarifa za kuvuja wachezaji hawalipwi mishahara unazitoa wapi ?
Club imeshiriki AFL, ina wadhamini zaidi ya sita ikose pesa za kulipa mishahara kuliko kipindi ambacho ilikuwa na mdhamini mmoja.
Sitaki kuwa dumb wa kuamini kitu ambacho...
Na Mbet anawalipa pesa nyingi kwa mwaka kuliko mkataba wa zamani wa Sportpesa.
Pia kwa sasa wana wadhamini wengi kuliko awali sasa pesa ya Mo wanaitaka ya nini wakati CAFCL, gate collections na wadhamini wa ligi na matangazo wanatoa pesa.?
Labda kama kuna hoja ya matumizi mabaya ya fedha za...
Walipofuta live coverage ya bunge watu wakaamua kupotezea mazima.
Uchaguzi wa 2020 ulikuja kumalizia tu.
Nani apoteze muda kufuatilia bunge la Tulia ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.