Kuna maduka yanayotoa kamishem kwa mafundi kwahiyo siyo lazima kwamba akikuelekeza duka eti anania ya kukuibia.
Pia boss akiwa muungwana ni ngumu sana kuibiwa na fundi.
Ni umasikini tu, lkn kazi inatakiwa ifanywe kwa mkataba.
Changamoto ya umasikini wetu ni kwamba
.Boss anatafuta mbinu ya kumlalia fundi
.Fundi anatafuta mbinu ya kufidia kile alichomlalia boss
KAMA UNAJITAMBUA ACHANA NA KAZI ZA KIMAZOEA.
Fanya hivi
1. Tafuta fundi then angalieni gharama ya...
Mungu na awabarikie wote wasaidiao binadamu wenziwe, hiyo ndiyo IBADA na DINI ya KWELI.
HAKUNA CHA ULOKOLE WALA UKATOLIKI
BALI DINI YA KWELI NI KUSAIDIA WASIOJIWEZA
IBADA YA KWELI NI KUSAIDIA WASIO JIWEZA
DHEHEBU LA KWELI NI KUSAIDIA WASIO JIWEZA.
YAKOBO 1:27
Yafaa nini kujikusanyia madolali mengi, unajenga mijengo mikubwaa , yaani unajinyima vya kutosha ili uwe tajiri........mwisho wa siku unakufa
Tafsiri ya maisha iko leo. YANI FURAHIA KILA ITWAYO LEO MAANA KESHO SI YAKO.
Kama viongozi mnania ya kuihujumu timu, tuambieni mapema tujiandae kisaikolojia na tusipoteze mda wa kwenda vibanda umiza kucheck game.
KUKUBALI KUPANDA GARI LA MAMELODI WKT MNAJUA UWEZEKANO WA KUWEKEWA SUMU NI UPUUZI.
NA KAMA MLIKUWA MEKOSA NAULI YA KUKODI BASI BINAFSI MNGESEMA TUPITISHE BAKURI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.