Tafuta biomedical engineers wa kazi hizo, kwa baadhi ya vifaa kama xray za phillips huwa na mafundi wao, anyway kama unamiliki hosp au kifaa husika sio rahisi kujiuliza swali kama lako
https://edition.cnn.com/2024/04/18/middleeast/isfahan-iran-explosion-intl-hnk/index.html?Date=20240419&Profile=CNN+Breaking+News&utm_content=1713495549&utm_medium=social&utm_source=twitter
Inasemekana military base imekuwa hitted huko Iran asubuhi hii,
Inawezekana kabisa provided huyo mwathilika yuko na viral suppression, zamani ilikuwa ngumu kujua nani ana viral suppression na nani bado ana kopi nyingi ya virus kwenye damu yake mpka ilipokuja kipimo cha Viral load, mteja mwenye majibu ya TNG yaani target not detected maana yake hana free...
Juzi nilikuwa ifakara huko nimekutana na mama mmoja amefanya sana kazi bank kwa sasa anafuga mno, nimemkuta na kitimoto kama 2000 hivi na kuku zaidi ya 4000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.