Kumbuka
Kumbuka hii ni mechi ya ufunguzi wa kombe kubwa zaidi ngazi ya klabu barani Africa. Ni mechi iliyokuwa na wageni waalikwa wengi, na Simba kupitia semaji walisema wazi kabisa Ticket za VIP A hazitauzwa, Bali ni maalumu kwa ajili ya wageni. Na hata takwimu za sold out hazionyeshi mauzo ya...
Hawa Singida ni tawi la Yanga, Simba wanahofia majeruhi ya kukusudia, wameshampoteza Inonga, wakipoteza key player mwingine ni kutakuwa ni pigo kubwa sana
Uwongo mkubwa, timu zinaruhusiwa mechi 3 za nyumbani, kuhamishia uwanja unaopenda ili mradi umekidhi vigezo. Tumeona Hilo Mara nyingi likifanyika, mfano KMC mechi za nyumbani wanapocheza na Yanga au Simba huhamishia Kirumba Mwanza.
Sio kweli, Chama amemaliza adhabu ya mechi 3. Bàada ya Ruvu Simba ilicheza mechi mbili NBC league, tarehe 6 June Police na Tarehe 9 June Coastal Union. Kamalizia adhabu mechi ya Singida juzi.
Wachezaji wa Tanzania, waliocheza ulaya ni wengi mno, akina Nico Njohole, Bob Chopa, Shekhan Rashid, Henry Joseph, Kali Ongala nk lakini waliopata mafanikio ulaya kutoka Tanzania ni wanne tu Samata, Novatus, Kasimu Manara na Mkongo man Nonda. Hata Sunday Manara hakupata mafanikio makubwa huko...
Benchi la ufundi lote out. Mayele huyo Pyramid, Djuma TP Mazembe, Bangala - Singida, Feisal - Azam, Kisinda karudi Berkane, Morrison - Thank you. Na bado Kuna tetesi za Diarra kumfuata Nabi -;Rabat FA
Eng. Hersi ana kazi ya kuijenga upya Yanga. Je Yanga itapata mafanikio au kuzidi ya 2022/2023
Klabu ya Yanga imekuwa na mfululizo wa mikutano na mchezaji wao Mayele, mchezaji ambaye tumeaminishwa bado ni hatimiliki ya Yanga kwa mwaka mmoja ujao. Hivyo basi Yanga ina mamlaka ya kumtumia Mayele kwa mshahara wanaomlipa sasa kwa mwaka mmoja ujao. Na walishafanya hivyo kwa Fei Toto kwani...
CAF katika kikao walichokaa jana mjini Rabat, Morocco wameamua kuanzia msimu huu wa 2023/2024 na kuendelea zile timu 16 ambazo huwa zimetolewa katika hatua ya timu 32 katika ligi ya mabingwa wa Africa hazitapata fursa tena ya kuingia katika hatua ya mtoano (Play-Off) ya kupambana na 16 bora za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.