Kabla hata sijamaliza kusoma thread yako nakushauri maisha hayana degree iyo kofia ya degree uliyovaa ivue piga kazi hujangundua kuwa wasio na degree ndio wanamiliki maisha bila stress ,wewe na uliemaliza nae std 7 akachakarika na mishe badala ya elimu amekuzidi parefu sana
Ndugu hizo ni athari za makundi na malezi uvutaji wa sigara sio wake pekeake wapo wengi nyuma yake Cha muhimu ongea nae kirafiki akueleze shida na changamoto anazopitia ,chunguza marafiki na tabia zake binafsi then mpe muda ajitathmini baada ya hapo mmbadilishie mazingira
Kazi yako ni kutafuta watu kule Twitter then unakuja kupaste huku wewe una Nini ? Cha kukubali huu mkataba ambao utakujakutumaliza kwa fidia na madai ya Kila namna
TPA wameshindwa kuona changamoto zilizotokea kwa miaka 30 ya TICTS,kwanini hawajasomesha wataalamu kutoka Tanzania walikuwa wamekaa tuu Leo tuu wanaropoka kuwa ushirikiano Hauna shida Ili kulinda nafasi zao
HIZI NI KESI 20 ZA DP WORLD AMBAZO HAZIJAISHA NA ZINAENDELEA DUNIAN KWA UTAPELI WAO
Here is a list of the latest 20 cases versus DP World in international arbitration court:
1. DP World v. Kenya (2022). The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) is currently hearing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.