Usiwe na fikra fupi, tofautisha kusimika mizizi na fikra za mtu mmoja au wawili na hata kadhaa kama sio wengi wasioutakia heri Muungano wetu
Sijamaanisha TZ haijasimika mizizi, vinginevyo usingekuwepo mpaka leo ila wametuacha mbali katika eneo hilo kutokana na misingi waliyoiweka tokea...
Israel - nawapendea Imani, ni bora mara elfu miji mitakatifu na ya kihistoria ya biblia ya kale iwe chini yao kuliko wengine
Nisichowapendea - kuacha wavamizi waendelee kuranda kwenye miji mitakatifu
Marekani - nawapendea unyamwezi
Ni suala la imani kuwa unapofumba macho hisia na fikra zako zote unazielekeza kwa muumba wako
Hiyo ni sambamba na kupiga magoti wakati wa maombi ni ishara ya unyenyekevu na heshima
Haimaanishi ya kuwa ukisimama, ukikaa sivyo, ila ni kuupa uzito maombi yako
Mengine wataalamu wa theolojia wataeleza
Amini kwamba zinakuja, kuna kipindi nilikuwa nasoma huu uzi na kuona kama ndoto kutokana na kupiga usaili kadhaa lakini bado kila mkeka ukitoka chenga, nikasema huwezi jua pengine siku yangu itakuja
Siku hiyo nilishangaa tu missed call nyingi na meseji za hongera, nikahisi kama utani
Katika...
Kwa hela kama hizo jitahidi uende physically huduma kwa wateja katika tawi au wakala mkubwa aliye karibu nawe ikiwa umejaribu tu kusolve tatizo kupitia kupiga simu
Wafanyabiashara wengi wameshatapeliwa na wateja wasio waaminifu ambao wanalipia halafu wakipata bidhaa wanasema wamekosea muamala...
Kusingiziwa huwa kupo na hatuombei kutokee, lakini hakuna kitu kibaya kama kujichanganya mwenyewe afu udakwe na ushahidi juu
Hapo hata kama ulijisahau tu hakuna rangi utakayoacha kuona na mbaya zaidi kama mtu alikuwa anakutafutia rada kitambo tu afu umeingia kwenye kumi na nane zake
Usiwe kama unajisahaulisha, ni bureau zipi zilifanyiwa hayo ukiachana na Arusha???
Kuambiwa kuwa kila wakibadili fedha (kiasi kikubwa) mteja aache taarifa zake (utambulisho) kulikuwa na jambo gani baya kiusalama ??
Bureau inazungusha mamilioni ya pesa kwa siku halafu kwenye taarifa zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.