Vijana wanatakiwa wapewe elimu ya uchaguzi sahihi pindi wakiwa shuleni(A-level),yani mtu anaona kuna course inahitaji watu wachache na ipo kwenye chuo pendwa mfano UDSM,SUA,DIT na vingine vingi alafu ufaulu wako ni mdogo alafu unaomba na kuweka 100% kwamba utapata yani jua kua unacheza bahati...
Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma
July 22, 2014 ·
MASWALI NA MAJIBU YA HOJA MBALIMBALI ZA WADAU
Awali ya yote Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, inapenda kuwashukuru wadau wote waliotuandikia maoni pamoja na kuuliza maswali mbalimbali kwa kipindi chote cha mwezi Mei hadi...
wakuu unaweza kupata final academic transcript kwa sasa kwale waliomaliza masomo mwaka huu(2018).
matokeo tayari,na ukiwa umeshafanya clearence but graduation bado hadi november 17th 2018
naomba kujuzwa,
kwenye ajira za utumishi unaweza kutumia academic trancsript tuu bila ya kua na certificate(bachelor dree) ?
na maanisha kwa wale vijana waliomaliza masomo mwaka huu(2018) matokeo tayari ila certificate bado.
Yaweza kua ni kweli.
Hata mimi kuna course nilii opt ambayo haikua kwenye option ya course zetu,na GPA ilikua inapanda na nilipata sup ila mwisho wa siku nikapata WITH HONOURS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.